Wapo wengi sana hata huku Mwanza waliovaa kiraia na wamebeba bunduki nadhani ili wawafikie waandamanaji kirahisi bila wenyewe kujua na kuwakamata au kuwaua kabisaNimeiona cruiser hapa kimara imebeba watu wawili na wamevaa jersey za YANGA na wanamitutu.sijawaelewa kabisa.Au timu ya YANGA siku hizi wanamikiki jeshi?
Nimewauliza lakini hawaongei.Wasimamishe uwaulize
Kusema kweli nilikuwa shabiki wa yanga, toka nione yule jambazi anashoot watu akiwa amevalia jezi ya yanga,nimeamua kuhama timu hiyo.Nimeiona cruiser hapa kimara imebeba watu wawili na wamevaa jersey za YANGA na wanamitutu.sijawaelewa kabisa.Au timu ya YANGA siku hizi wanamikiki jeshi?
Kivipi yaani, au ni kipi kinaendelea chini ya kapeti ambacho hatukifahamu?Wanasema eti hajakikalia tangu juzi