Recent content by macho manne

  1. macho manne

    Zari na familia yake wameshawasili Uganda pamoja na mwili wa Ivan

    Nawaonea huruma watoto wake kuishi bila baba yao
  2. macho manne

    Harmorapa ni Freemason?Au akaunti sio yake

    Kiki zingine sio
  3. macho manne

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Kumbuka unatafuta mtoto sio kwamba utampata siku unayotaka ww inaweza chukua hata mwaka mzima . na pia kumbuka unapozidi kuwa na mtu muda mrefu ndo mapenzi yanazidi kuwepo je ni nani atakubali kupoteza damu yake kirahisi hivyo
  4. macho manne

    TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    Najua ulimpenda sana na sisi tulimpenda sana ila mungu kampenda zaidi pumzika kwa amani mama yetu nasi tupo nyuma yako maana kila nafsi lazima itaoja mauti.
  5. macho manne

    House girl wa boss ananiomba nifanye nae mapenzi

    Kwani umelazimishwa mkuu siukatae kama umependi
  6. macho manne

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Ni heri kufia kwenye haki kuliko kufia kwenye utumwa wakati huo moyo wako hakustahili kuwa huko nape maisha ni popote na mungu anakuona wewe ni mkweli na utaendelea kuwa mkweli
  7. macho manne

    Watanzania nisikilizeni

    Serikali ya wachache
  8. macho manne

    Kuna kitu hakiendi sawa: Mkuu anapambana na umma?

    Uniona swala anaringa sana mbugani jua kuwa simba ni boy friend wake
  9. macho manne

    Exclusive: Askofu Gwajima atoa cheti chenye matokeo ya kidato cha nne ya Daudi A. Bashite (Makonda)

    Jamani kwani mtu akipata zero anapta cheti au zama walikuwa wanapewa
  10. macho manne

    Wanavyuo, kwanini huwa mnaona noma kutaja majumbani kwenu?

    Karibuni na mwanza mbona dar 2
  11. macho manne

    Sasa mbona ananisumbua?

    Dada yangu tabia ya mtu huwa haibadiliki ukikubali tu kuwa naye Fanya vyovyote usiishie vijiset maana huyo yupo kwako kwa kipato ila mapenzi ya dhati sidhani. Hujabadilika kitu ndo yuleyule wa zamani sasa anataka nini zaidi ya pesa zao.achananae kabisa kwanza alishatoa talaka.
  12. macho manne

    Naomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years

    Nimeupenda sana ushauri wako asante sana na ubarikiwe sana
  13. macho manne

    Kuset internet laini ya airtel

    Ukipiga simu haitoki
  14. macho manne

    Kuset internet laini ya airtel

    Jibu maswali upate msaada
  15. macho manne

    Paul Makonda avamia Clouds Media na kuwatisha SHILAWADU

    Huo ni mwanzo tu tunataka vyetiiiiiiii
Back
Top Bottom