Recent content by Macho Makavu

  1. M

    Nakushauri usioe

    Ulimpendea nini huyo mwanamke? Je, bado anacho au amekipoteza?
  2. M

    Vijana tuache huu ujinga

    What goes around comes around.. Ngoja wazeeke na wao wataletewa
  3. M

    Huyu Kaka Kaniweza

    Goods in Transit.. Sold
  4. M

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Ifikie wakati sasa ma single mother muundiwe wizara yenu..
  5. M

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    wanywaji mpo? someni signature yangu..
  6. M

    Mdhamini wa kuwezesha kuanzisha kiwanda kidogo cha bites

    asante sana mkuu kwa feedback, kila la kheri kwenye biashara hii
  7. M

    Mdhamini wa kuwezesha kuanzisha kiwanda kidogo cha bites

    hongera sana mdau. mnapatikana dar sehemu gani?
  8. M

    Mdhamini wa kuwezesha kuanzisha kiwanda kidogo cha bites

    hongera sana mdau. vp hakuna picha 2 tatu ?
  9. M

    Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

    Niliwahi kuiba mtihani kipindi nipo primàry school. Mama alikuwa teacher wa soçial science, sasa nimefanya paper fresh tu ila nikahisi hapa nitafeli tu. Sasa wakat wa kurudi home, mama kanipà ile mitihani nikawa narudi nayo home aisee Wakat narudi, nikakutana na malaika wachafu barabarani...
Back
Top Bottom