Huyu Kaka Kaniweza

Huyu Kaka Kaniweza

Hili ka kusema ulitumia kinga na kwamba ulizifuta namba zake bila sababu si kweli, umeogopa tu zodoa zodoa ya Jf.

Hauwezi kutumia condom kisha ukasifia mtu kakuweza, kakuweza kukufanyaje?

Hiyo ilikuwa nikavu kavu mama sisi siyo watoto.

Nikwambie kitu?
Mtaimu hajalewa ili kumhakiki, je yaliyomo yamo na sifa ulizompatia ni zake kweli?

Maana gemu la kilevi huwa si la kimapenzi, ni kamkomoeni na kusaka sifa za ushindi na si mapenzi halisi.

Halafu jamaa akikumbukia na ulivyomsotesha kwa kumringia bila sababu masiku kibao pa1 na gharama alizomwaga tangia aanze kukusororea, lazima atende kama shujaa na ndiyo maana hata "nakupenda" yake hakukupa.
 
Kama kawaida Team baharia 3 Team gegedwa 0
 
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
Unatamani ungekua mwanamke kweli
 
Nimesomaaa sikukuelewa. Yaani umeamua kujitoa utu wako ili dadako na shemejiako wapewe pombe na kupelekwa dansi?? Ni hivyo au? Halafu unasema aliyeambiwa unapendwa ni shemeji huku wewe hukuambiwa. Vichwa vingine ni nazi tu. Huya kesho mkienda tena muombe shem ampe ruksa dadako kwenda muonja huyo Fundi Maiko
 
Wabongo bwana, bado tupo karne ya zamani sana. Hebu tubadilike, kutiana hakuna uhusiano na upendo kihivyo. Kuna mazingira binadamu anahitaji kutiana tu, sema hizo kanuni tulizojiwekea ndiyo zinakwaza. Hao watu , kaka na dada, walikuwa sahihi kabisa. Kama mmeridhia kudinyana poa tu, cha msingi kuzingatia masuala ya afya tu. Mnadinyana mkimaliza kila mtu na safari yake. Ikitokea mtu kakolea sasa kama huyo dada, si vibaya akiomba nafasi kwa mwenzake.

So, binafsi mnaomshambulia huyo dada eti cheap, malaya n.k.,si ajabu nyinyi ndiyo mna sifa hizi. Mimi ninadhani wale wanaojiuza waziwazi wana nafuu kuliko tuliovaa pete za ndoa.Mbongo akiongea hadharani unaweza kusema ni mpwa wake Yesu au Muhamad, kumbe nyoko wa kufa mtu.

Dada endelea kumtafuta jamaa yako akusugue mpaka uchi unuke baruti. Wasikubabaishe!
 
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
Shetani kazini, na rangi za kuvutia
 
Jamani acheni utani Tanga raha, nilikutana na huyu kaka sehemu anapoishi Dada yangu toka siku hiyo nilikuwa namuona mtu tu wa kawaida huwa akifika pale kwa dada anatabia ya kumwambia anipigie simu ili niende kwa ajili ya kunywa bia na mara nyingi huwa siendagi ni mara moja sana huwa naenda kama ikitokea nina muda baada ya miezi kupita majuzi tukapanga twende out na kweli tulienda kwenye Band tulikunywa sana na kucheza mziki binafsi kwa sasa niko single na yeye pia ila sina uwakika tulivyotoka mziki mida ya kurudi home ikabidi aturudishe home aliwashusha dada yangu pamoja na shemeji yangu mimi na yeye tukaenda nyumbani kwake dah kuna wanaume fundi ila huyu kaka kiboko huyu kaka sitoweza kumsahau kwa kweli (najua kuna watu watahoji kama tulitumia kinga jibu ni ndiyo) natamani awe wangu sijui nifanyaje na namba yake nilikuwa nayo na namba yangu pia anayo sema ya kwake nishaifuta na kuhusu kunipenda alishamwambia shemeji yangu kuwa ananipenda ila yeye kunitamkia bado na kufanya kote kule usiku ajaniambia chochote zaidi ya kumaliza kufanya mapenzi na kuniambia Ahsante........
Shetani kazini, na rangi za kuvutia
 
Back
Top Bottom