Usimueleze chochote,huyo nimwanao ambae mungu kakupa mwenyewe,kufa na hiyo siri,utampa mawazo sana, na kumsumbua kisaikologia kutafuta sura ya mama mzazi,na kwanza haina faida yoyote,ataanza kukuona mbaya kwa mapungufu yaliyojitokeza kwenye malezi yake,
Sent from my CAM-L21 using JamiiForums...