Usimueleze chochote,huyo nimwanao ambae mungu kakupa mwenyewe,kufa na hiyo siri,utampa mawazo sana, na kumsumbua kisaikologia kutafuta sura ya mama mzazi,na kwanza haina faida yoyote,ataanza kukuona mbaya kwa mapungufu yaliyojitokeza kwenye malezi yake,
Sent from my CAM-L21 using JamiiForums...
Kuna mislamu ambae hendi msikitini miaka dahari,akibatizwa ili aolewe au aowe baada ya hapo pia,haendi na huko kanisani miaka dahari,sasa unamzuiaje huyo mtu kufurahia mahusiano yake,?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.