Recent content by Macho kodo

  1. Macho kodo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika: Je, nimueleze kama Mama yake Kafariki?

    Usimueleze chochote,huyo nimwanao ambae mungu kakupa mwenyewe,kufa na hiyo siri,utampa mawazo sana, na kumsumbua kisaikologia kutafuta sura ya mama mzazi,na kwanza haina faida yoyote,ataanza kukuona mbaya kwa mapungufu yaliyojitokeza kwenye malezi yake, Sent from my CAM-L21 using JamiiForums...
  2. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania ROMA: Nikisema Walichonifanyia baada ya kutekwa Hakuna mtu angekaa Karibu na mimi

    We mtoto wewe[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  3. Macho kodo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa wana JF

    Picha gani
  4. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Malezi ya CCM kwa Vijana Wake Yanaandaa Viongozi wa Hatari.

    Ungekua mwanamke ungekua na gubu baya
  5. Macho kodo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume: Ni kweli mwanaume akichelewa kupata mtoto, akipata wa kiume hufurahi zaidi?

    Kweli kweli tupu
  6. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Mkatisha tiketi kituo cha Mwendokasi cha Kona tafadhali jirekebishe

    Tutupie na picha yake mkuu
  7. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Tigo mmepatwa na nini?

    Hawafai hata kidogo
  8. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

    Asante sana kwa chakula cga ubongo
  9. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Laleni acheni bange
  10. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Hela alizochukua mkononi zitatokea mahali popote palipo wazi

    Mahala popote palipo wazi,maana yake ni mkononi ndo pako wazi,kwa maana nguo hazifuniki mikono ,anaweza kupotea mtu,lakini pesa ya serikali haipotei
  11. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Sheikh Othman Maalim afukuzwa Zanzibar

    Acha uchochezi
  12. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Nimemkumbuka mkarimu wa Kipemba,aliokota vyeti vyangu na kunirudishia bila hata kupokea shilingi

    Dunia ilikua na watu kama mpemba huyo wakati ilipoumbwa,ila baada ya kuja watu kama wewe mkaanza kutoa shukrani ya pesa tu,ndo hapo shida ilipoanza
  13. Macho kodo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kubadili Dini kwa Ajili ya Ndoa

    Kuna mislamu ambae hendi msikitini miaka dahari,akibatizwa ili aolewe au aowe baada ya hapo pia,haendi na huko kanisani miaka dahari,sasa unamzuiaje huyo mtu kufurahia mahusiano yake,?
  14. Macho kodo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji simu isizidi laki 2

    Nicheki ipo Huawei Y6II nyeupe, mpya
Back
Top Bottom