Kubadili Dini kwa Ajili ya Ndoa

Mkuu;
Umetoa ushauri mzuri sana ila ukamalizia vibaya. Nakubaliana nawe kuwa, kama mkiridhiana kuwa pamoja regardless ya imani zenu hapo sawa tu. Lakini ninachokataa ni kule kutuaminisha kuwa mungu tunaye muabudu ni mmoja. Hata siku moja usiniambie kuwa Allah Subuhannah Wa Taallah ati ni sawa na huyo wa wagalatia. Hapanaaaaa. Tena usiwachokoze watu wake. Tena akija kwangu hamalizi mwezi kabla sijamsilimisha.
Hata mla kiti moto unamsilimisha??
 
Mkuu;
Umetoa ushauri mzuri sana ila ukamalizia vibaya. Nakubaliana nawe kuwa, kama mkiridhiana kuwa pamoja regardless ya imani zenu hapo sawa tu. Lakini ninachokataa ni kule kutuaminisha kuwa mungu tunaye muabudu ni mmoja. Hata siku moja usiniambie kuwa Allah Subuhannah Wa Taallah ati ni sawa na huyo wa wagalatia. Hapanaaaaa. Tena usiwachokoze watu wake. Tena akija kwangu hamalizi mwezi kabla sijamsilimisha.

Mungu mmoja nafsi tatu sio sawa na Mungu mmoja nafsi moja , hivyo Mungu anayeabudiwa na dini hizi mbili kuu ni tofauti. Tuache kisingizio kuwa Mungu ni huyo huyo.
 
Mungu mmoja nafsi tatu sio sawa na Mungu mmoja nafsi moja , hivyo Mungu anayeabudiwa na dini hizi mbili kuu ni tofauti. Tuache kisingizio kuwa Mungu ni huyo huyo.

Kaka umeona eeee. Tusidanganyane. Mungu ni mmoja tu naye ni Allah! Hana mshirika wala ushirikishi. Hajazaa wala hajazaliwa.
 
Mwenye imani thabiti hawezi badili dini kisa Mapenzi. that's what I believe always. mie demu wangu nampenda sana ila wao kwao zenji imani kali na ananiomba nibadili dini but I don't believe in Islamic coz i hve done research ya kusoma Bible na the so called Q'uran na Mungu wa Bible nimemprove. so mapenzi kwangu yamefail kuniongoza Mungu ndie mbele.
 
Amani iwe juu yenu!!

Wapenzi wengi wamejikuta kwenye mtihani wa kupendana na wenza wao ilhali imani za dini zao huwa zipo tofauti. Jambo ambalo siku zote nimekuwa nikiliamini ili mtu awe na familia iliyo bora lazima nyumba iwe na imani madhubuti. Kuwepo kwa imani mbili ni kugawa watoto na hata imani watakayoifuata baadae mara nyingi huwa hawaitendei haki ipasavyo.

Nakubali kuwa kuna familia nyingi ambazo zipo huku wazazi wakiwa na imani zao tofauti. Binafsi yangu huwa naona hili halipo sawa kabisa. Sijui wadau mnalisemeaje hili?
Mkuu, umejitahidi kueleza jambo hiki kwa umakini mkubwa. Nakupongeza sana. Huku wasiwasi wako ukibaki kuwa na mashiko, napenda nikukumbushe msemo juu "ubi caritas et amir, Deus ibi east". Yaani palipo na ukarimu na upendo, Mungu yupo.

Kwa hiyo Mungu ni upendo. Na ikiwa nguvu ya upendo ndiyo iliyowaleta watu hao pamoja, basi mimi sioni kama kuna tatizo. Tatizo ni pale tu inapotokea nguvu ya pesa ndiyo inawaleta watu pamoja. Na katika hili hakuna tofauti ya imani. Haya mkawa wa amani moja, kama hakuna upendo, kama mmeunganishwa na pesa tu basi Mungu hayupo hapo, na matatizo hayawezi kwisha.

Kwa hiyo nadhani jambo muhimu la kwanza ni upendo wa dhati. Mengine yote yanakuja baadae.
 
Mkuu;
Umetoa ushauri mzuri sana ila ukamalizia vibaya. Nakubaliana nawe kuwa, kama mkiridhiana kuwa pamoja regardless ya imani zenu hapo sawa tu. Lakini ninachokataa ni kule kutuaminisha kuwa mungu tunaye muabudu ni mmoja. Hata siku moja usiniambie kuwa Allah Subuhannah Wa Taallah ati ni sawa na huyo wa wagalatia. Hapanaaaaa. Tena usiwachokoze watu wake. Tena akija kwangu hamalizi mwezi kabla sijamsilimisha.
Religion is an opium to people's minds
 
Kuna jamaa yangu kachenji kutoka Christianity to Islamic apate ndoa na mtoto toka chaggaland.

Nilishindwa hudhuria sherehe kwa kuwa hakuna ndugu yake hata mmoja aliyehudhuria.
 
Wengi wanabadili kwa ajili ya mapenzi tu na si imani, hii ni hatari sana

Na kuna ambao wanabadili na akishaoa anarudi kwenye dini yake hili ni tatizo kubwa sana hasa kwa watoto na nyumba inakuwa haina imani madhubuti
 
Mungu wangu na jinsi ninavyomwabudu, havitabadilika kwa ajili ya mwanadamu mwenzangu.
 
Amani iwe juu yenu!!

Wapenzi wengi wamejikuta kwenye mtihani wa kupendana na wenza wao ilhali imani za dini zao huwa zipo tofauti. Jambo ambalo siku zote nimekuwa nikiliamini ili mtu awe na familia iliyo bora lazima nyumba iwe na imani madhubuti. Kuwepo kwa imani mbili ni kugawa watoto na hata imani watakayoifuata baadae mara nyingi huwa hawaitendei haki ipasavyo.

Nakubali kuwa kuna familia nyingi ambazo zipo huku wazazi wakiwa na imani zao tofauti. Binafsi yangu huwa naona hili halipo sawa kabisa. Sijui wadau mnalisemeaje hili?
daa umegusa penyewe kabisa kaka mimi nina mpenzi ambae ni muislamu pia nimwalimu wa shule ya msingi moja wapo hapa daa najua hawezi kuwemo humu kwani nilimpiga marufuku kujihusisha na hii mitandao

sasa tatizo lipo hapa kila mala amekua akinilazimisha kumuoa na akikili kuwa tayari kubadilisha dini yake na kuja kwangu ila nikiangalia kwaupande wa ndugu zake yani baba mama kaka zakee yani duuu niwatu wadini hiyo kupitiliza huwa namtaadharisha juu ya kutengwa na ndugu zake lakini yeye hajali hilo ila mawazo yangu juu ya wazazi wake kweli sijui kama hawataniloga hebu nishaurini kwakupitia uzi huu wa mdau alie uanzisha
 
daa umegusa penyewe kabisa kaka mimi nina mpenzi ambae ni muislamu pia nimwalimu wa shule ya msingi moja wapo hapa daa najua hawezi kuwemo humu kwani nilimpiga marufuku kujihusisha na hii mitandao

sasa tatizo lipo hapa kila mala amekua akinilazimisha kumuoa na akikili kuwa tayari kubadilisha dini yake na kuja kwangu ila nikiangalia kwaupande wa ndugu zake yani baba mama kaka zakee yani duuu niwatu wadini hiyo kupitiliza huwa namtaadharisha juu ya kutengwa na ndugu zake lakini yeye hajali hilo ila mawazo yangu juu ya wazazi wake kweli sijui kama hawataniloga hebu nishaurini kwakupitia uzi huu wa mdau alie uanzisha

Tafuta mlioendana na dini yako sikushauri kabisa kwa sababu ndoa yenu itakuwa haina baraka kabisa na huyokuwa na amani mapenzi ni upofu sasa analazamisha ila akipata anachokitaka atajuta baadae
 
Tafuta mlioendana na dini yako sikushauri kabisa kwa sababu ndoa yenu itakuwa haina baraka kabisa na huyokuwa na amani mapenzi ni upofu sasa analazamisha ila akipata anachokitaka atajuta baadae
ni ushauri mzuri ila wapo walio shauri kuwa huyo ndio anafaa kwani hatokua mjuaji au mgonvi kwani anajua wewe ndio kimbilio pekee kwake
 
Back
Top Bottom