Pole sana maana inaonekana hujui ulicho kiandika na ulicho kiandika kitakuhukumu huku ukiwa hukijui tafadhali kitazame ulichokiandika ili kitakapo kuhukumu ujue nini kinacho kuhukumu! Atakumbe hata leo bado umropokaji??
Vyama vya siasa vilivyo kuwa vinafanya kama magu anavyo taka vifanye vyama vyote vya upinzani vili ishia kuitwa vyama vya Ruzuku jee mukulu anataka vyama vyote vya siasa kuwa vyama vya ruzukuu??
Unaishi wewe na huyu mtoto pekee yenu??. Kama unaishi na mume au ndugu yeyote alafu una mfungia mtoto ndani ya geti basi umebugi sana kwani maranyingi ni ndugu ndiyo wanao tenda hayo madhambi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.