Nitaachaje kuwa mbaguzi?

Nitaachaje kuwa mbaguzi?

Soma biblie mkuu.... Pia kile kitabu cha ben think big au gifted hands!
 
siku atakayobaguliwa na kunyanyapaliwa ndio ataacha kubagua wengine..
 
Hauko mwenyewe kuna rafiki yangu mmoja nilisoma nae.
Mara ya mwisho nilipokutana nae alikuwa anafanya kazi kwa Muhindi
mmoja hapo Babati/ Manyara. Huyo Muhindi alivyokuwa anamtukana kama
mtoto yaani mmpaka mimi niliona aibu. Nilimuhurumia sana.

Alimwita Nyani mbele yangu.
Nikamuuliza kwanini anakutukana hivi mbele yangu?
akasema anamtuka hivyo mbele ya kila mtu kila siku.

Yaani nimemchukia huyo Muhindi. Mtu mmbaya sana.
 
Hamna mlichomsaidia hapo ! Maana mnamuelekeza akasome kitabu (bible) ambacho kuna ubaguzi wa kufa mtu ! Kuanzia mwanzo mpaka mwisho !
Mh ndo nasikia leo bible ina ubaguzi..... Labda ungetueleza namna gani mkúu!?
 
Mh ndo nasikia leo bible ina ubaguzi..... Labda ungetueleza namna gani mkúu!?
Mungu amewapendelea wana wa-israel moja kwa moja na kuwabagua wengine wote bila hata ya chembe ya aibu ! Tena mpaka we unafahamu hili sema kwa kuwa unampenda mungu asiye kupenda unajitia kipofu !

Kumbuka alipowapa uhuru wa kuuwa chochote watakacho kutana nacho walipokuwa wakitoka misri kwenda kwenye nchi yao ya ahadi !
Kuna sehemu anamwambia daudi kuwa akishawapiga hao watu atakao kutana nao, wanaume waliobakia awaue, wanawake ambao sio mabikra ajitwalie (awafanye watumwa) na wale wasiomabikra awaue pia ! Sasa kwa mungu mwenye akili kama hizo sio mbaguzi kweli ?
 
nahisi na mimi nashare tatizo na wewe sema case zetu zinatofautiana....mimi nimekuwa maeneo ya migodi ya mwadui; niliona jinsi wazazi wetu walivyokuwa wanabaguliwa na wataliano maboss wao....niliamua kusoma sana ili elimu inipe power mbele za watu wengine sababu baba yangu ndo aliniaminisha hivyo (alihisi anabaguliwa kwa sababu alikuwa hana elimu kubwa)....mwisho wa siku nikasoma mpaka nikafanikiwa kupata shahada kisha nikaingia na mimi kwenye ajira (nikafanya kazi kwenye kampuni moja ya wahindi) nikakuta bado nabaguliwa pia kwa sababu nilikuta wafanyakaz wa kiafrika wanakula canteen tofauti na wahindi, wana vyoo tofauti na wanavyotumia watu weusi, wanawatreat wafanyakaz wa usafi kama watumwa na walikuwa wana adabu kwa baadhi tu ya staffs wa kiafrika.....hapa nilijikuta naingiwa na roho ya ubaguzi kwa watu weupe asee; i remember i was fired because i sided with the low African workers ambao walikuwa wakinipenda na kunisikiliza sana na kupelekea kuchukiwa na top staffs wenzangu hatimaye kufukuzwa kazi.....tangu hapo huwezi kunikuta hata siku 1 nawaentertain hawa watu na nna wabagua mbaya ilifika mahali kuna siku nlimuona mzungu mmoja anakimbizwa na mbwa nlivyoona anaelekea huku kwangu nikamsakisia na kwa mbwa wangu waongezee nguvu
 
We umelelewa getini ndio shida kubwa ulionayo, kitu rahisi cha kufanya badili mwenendo wa maisha yako jaribu kuishi mazingira tofauti na uliyokulia inshort hamia kwenye slums huko ndio utajua nini maana ya maisha!
Sio kuja kujisifia upuuzi hapa, kengemaji wewe!
 
nahisi na mimi nashare tatizo na wewe sema case zetu zinatofautiana....mimi nimekuwa maeneo ya migodi ya mwadui; niliona jinsi wazazi wetu walivyokuwa wanabaguliwa na wataliano maboss wao....niliamua kusoma sana ili elimu inipe power mbele za watu wengine sababu baba yangu ndo aliniaminisha hivyo (alihisi anabaguliwa kwa sababu alikuwa hana elimu kubwa)....mwisho wa siku nikasoma mpaka nikafanikiwa kupata shahada kisha nikaingia na mimi kwenye ajira (nikafanya kazi kwenye kampuni moja ya wahindi) nikakuta bado nabaguliwa pia kwa sababu nilikuta wafanyakaz wa kiafrika wanakula canteen tofauti na wahindi, wana vyoo tofauti na wanavyotumia watu weusi, wanawatreat wafanyakaz wa usafi kama watumwa na walikuwa wana adabu kwa baadhi tu ya staffs wa kiafrika.....hapa nilijikuta naingiwa na roho ya ubaguzi kwa watu weupe asee; i remember i was fired because i sided with the low African workers ambao walikuwa wakinipenda na kunisikiliza sana na kupelekea kuchukiwa na top staffs wenzangu hatimaye kufukuzwa kazi.....tangu hapo huwezi kunikuta hata siku 1 nawaentertain hawa watu na nna wabagua mbaya ilifika mahali kuna siku nlimuona mzungu mmoja anakimbizwa na mbwa nlivyoona anaelekea huku kwangu nikamsakisia na kwa mbwa wangu waongezee nguvu
umetisha wahindi hawafai wamenifanya niwachukie wahindi wengine mpaka siku nakwenda kaburini
 
nahisi na mimi nashare tatizo na wewe sema case zetu zinatofautiana....mimi nimekuwa maeneo ya migodi ya mwadui; niliona jinsi wazazi wetu walivyokuwa wanabaguliwa na wataliano maboss wao....niliamua kusoma sana ili elimu inipe power mbele za watu wengine sababu baba yangu ndo aliniaminisha hivyo (alihisi anabaguliwa kwa sababu alikuwa hana elimu kubwa)....mwisho wa siku nikasoma mpaka nikafanikiwa kupata shahada kisha nikaingia na mimi kwenye ajira (nikafanya kazi kwenye kampuni moja ya wahindi) nikakuta bado nabaguliwa pia kwa sababu nilikuta wafanyakaz wa kiafrika wanakula canteen tofauti na wahindi, wana vyoo tofauti na wanavyotumia watu weusi, wanawatreat wafanyakaz wa usafi kama watumwa na walikuwa wana adabu kwa baadhi tu ya staffs wa kiafrika.....hapa nilijikuta naingiwa na roho ya ubaguzi kwa watu weupe asee; i remember i was fired because i sided with the low African workers ambao walikuwa wakinipenda na kunisikiliza sana na kupelekea kuchukiwa na top staffs wenzangu hatimaye kufukuzwa kazi.....tangu hapo huwezi kunikuta hata siku 1 nawaentertain hawa watu na nna wabagua mbaya ilifika mahali kuna siku nlimuona mzungu mmoja anakimbizwa na mbwa nlivyoona anaelekea huku kwangu nikamsakisia na kwa mbwa wangu waongezee nguvu
Wazungu hawana noma sana ila wahindi ndio wakupiga ngumi kabisa, kosa moja tu elements za dharau, utakuwa adui yangu milele!!!
 
Back
Top Bottom