jaman wanajanvi naomba kujuzwa hapa kidogo.ninampenz wang nampend cn lakn cha kushangaza ananipigiaga cm mara moja kwa wiki nkimuulza mbona unansahau kias hicho anadai kua anakua bize cn, kiac kwamb nmeanza kumzoea na 2naelekea kumalza mwaka sasa,
ujadaganya ccter yn kunako 6*6 awa wa2 wanakua wavivu c kawaida asa ikija kwenye ishu ya kumuandaa mwenzake il aweze kuukabil mtanange yn apo wanajiridhsha wenyewe paspo kujua km mwenzake kamuandaa vzur
mmmm ad me mwenyewe nimeumia nikifikilia maumivu uliyapata pale tena kwa kulazmishwa naic uchungu.ama hakka mungu alisema 2samehe mara sabin lakn kunasehem unafka unaona kumsamehe m2 inakua kero kwa ilotendo alokufanyia me naona nawe mfanyizie 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.