MISINGI YA NDOA !! Zingatia!!!!!

MISINGI YA NDOA !! Zingatia!!!!!

Ukimpenda utamheshimu, utamjali, utamlinda na ndoa yenu itadumuwazima.. Maamuzi ya watu wawili wazima kuishi pamoja kwa maisha yao si ya lelemama uvumilivu ni muhimu
 
Hapo umenena kuweka udhaifu wa mwenzio hadharani ni hatari hata humu JF ni hadharani kuzisema humu hautatofautiana na wale wanaosema huko vijiweni

ingekuwa hivyo usingepata cha kuchangia humu..........
 
mimi ndo maana huwa nakuambia kuna watu wana vipaji vya ku seduce yaani at education level wana PHDs sijajua aliwezaje kumvua wito ngoja tumuulize...... nina wasiwasi na yeye alijifanya padre au sijui brooder......?
cc Mentor

cc mwallu
 
Last edited by a moderator:
Munkari yupo ndoani,mumewe naye yumo humu JF anaitwa Mokoyo,mara ya mwisho alikuwa anafanya kazi Sudan lakini kwa sasa yupo hapa bongo kila siku anatembea na kikopo,watu wanasema ni tindikali ila mi sina uhakika na hilo.Baba mkubwa Kaizer alisema eti pia ana mguu wa kuku,kwa hiyo ukitaka aku Ufosaro endelea tu mkuu!
hahahahahahahha ndugu yangu sungura1980 haya mambo ya ndoa yangu nani kakwambia uyavujishe mtaani pasipo ruhusa yangu. Baba mkubwa Kaizer naomba uchukue disciplinary measures kwa huyu bwana mdogo
 
Heshima kwako mtoa mada am goin' for implementation.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom