Pele,Maradona,Garincha,Kempes,Zagalo n.k hawamo sababu wao halihusika katika kinyang'anyiro cha Kwanza ambacho alipatikana Di Stephano Mwaka 1989,maana tuzo hii hutolowa mara moja kila baada ya miaka 30,kwahio hesabu ya kumpata mshindi kinyang'anyiro cha pili kilianza kuangaliwa kuanzia mwaka...
Hii ni tuzo ambayo hutolewa mara moja kwa miaka 30,ambapo hadi sasa aliwahi kuishinda ni Alfredo Di Stephano Pekee yake mnamo mwaka 1989.
Kuna kinyang'anyiro cha mkumpata Mshindi Mpya kwa muda wa miaka 30 iliyo pita tokea Mwaka 1990 hadi Sasa ambapo kuna Orodha ya Wachezaji Walio Staafu na...
Hiki ulichokiandika upande wa Kisheria ni kweli lakini Mfano ulioutolea kwa Everton kuwa Bingwa katika Msimu wa 1914-1915(kipindi cha Vita ya kwanza ya Dunia),ligi ilikwisha kabisa zilichezwa mechi zote na Everton alikuwa bingwa kwa tofauti ya pointi 1 dhidi ya Oldham Athletic.
Sent using Jamii...
Shukran sana Kiongozi
Hapo kwenye "Clitoris Glan" ndo nime-elewa ulimaanisha kitu gani maana hilo neno Kigolori ndio ulikuwa Msamiati kwangu shukrana sana Chief.
Sent using Jamii Forums mobile app
JBourne59, "Ki-s*-imi kilivyo. Ki*n*embe kina umbile kama omega yenye mstari ulio nyooka kwa juu na incha kwenye maungio ya mstari na juu ya omega ambapo ndio kwenye uzi huu tutaita kigoroli.
Kigoroli ndiyo sehemu yenye hisia sana kwa mwanamke, lakini siyo sehemu pekee yenye msisimko kwenye...
Kiongozi
Ukiacha Kujichua na usifanye Ngono unakuwa na Withdrawal kama Maumivu ya Sehemu za Siri(Blue Ball),Maumivu ya Kichwa,Kubadiika kihisia(Mood Swing),Usingizi usiowakawaida,kutetemeka Mwili,Kichefuchefu,Flatline(umee kutokusisimka kwa Muda Flani) n.k kutegemeana na Mtu.
Sent using Jamii...
Kiongozi
Punyeto ina Withdrawal Symptoms kama Addiction zingine zote Mf.Cocaine,Video Games,Gambling n.k maana eneo linalo athirika kwenye Ubongo wa Binadamu ndilo hilo hilo linalo husika na Addiction(URAIBU),nina ushahidi na hili 100%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nnashukuru sana kwa Maelezo Mafupi ya kilaamu na yenyekueleweka,
Swali dogo tu la nyongeza inamaana wanaopewa chanjo(Vaccination) ya Hepatitis B maana yake hawana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam wakuu,
Ningependa kusaidiwa maelezo ya kitaalamu kwanini muathirika wa Virusi vinavyosababisha UKIMWI hawezi pewa chanjo ya ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B), kuna uhusiano gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.