Recent content by m_ustar

  1. m_ustar

    Super Ballon d'Or

    Pele,Maradona,Garincha,Kempes,Zagalo n.k hawamo sababu wao halihusika katika kinyang'anyiro cha Kwanza ambacho alipatikana Di Stephano Mwaka 1989,maana tuzo hii hutolowa mara moja kila baada ya miaka 30,kwahio hesabu ya kumpata mshindi kinyang'anyiro cha pili kilianza kuangaliwa kuanzia mwaka...
  2. m_ustar

    Super Ballon d'Or

    Hii ni tuzo ambayo hutolewa mara moja kwa miaka 30,ambapo hadi sasa aliwahi kuishinda ni Alfredo Di Stephano Pekee yake mnamo mwaka 1989. Kuna kinyang'anyiro cha mkumpata Mshindi Mpya kwa muda wa miaka 30 iliyo pita tokea Mwaka 1990 hadi Sasa ambapo kuna Orodha ya Wachezaji Walio Staafu na...
  3. m_ustar

    Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

    Hapa kwenye kuchagua server za Thor hacker ndio nimebaki njia panda,msaada tafadhali Bwana Mkubwa SPYMATE
  4. m_ustar

    Eeeh bwana eeeh Kikosi bora Euro2020 Lukaku ndani Ronaldo out

    Nnadhani waliangalia zile timu ambazo zilivuka mzunguko wa pili,maana hata Patrik Schick hayumo sababu hio.
  5. m_ustar

    Michuano ya soka England yasitishwa hadi Aprili 3 kutoka na Corona

    Hiki ulichokiandika upande wa Kisheria ni kweli lakini Mfano ulioutolea kwa Everton kuwa Bingwa katika Msimu wa 1914-1915(kipindi cha Vita ya kwanza ya Dunia),ligi ilikwisha kabisa zilichezwa mechi zote na Everton alikuwa bingwa kwa tofauti ya pointi 1 dhidi ya Oldham Athletic. Sent using Jamii...
  6. m_ustar

    Squirting ni kwa baadhi ya wanawake au wote?

    Shukran sana Kiongozi Hapo kwenye "Clitoris Glan" ndo nime-elewa ulimaanisha kitu gani maana hilo neno Kigolori ndio ulikuwa Msamiati kwangu shukrana sana Chief. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. m_ustar

    Squirting ni kwa baadhi ya wanawake au wote?

    JBourne59, "Ki-s*-imi kilivyo. Ki*n*embe kina umbile kama omega yenye mstari ulio nyooka kwa juu na incha kwenye maungio ya mstari na juu ya omega ambapo ndio kwenye uzi huu tutaita kigoroli. Kigoroli ndiyo sehemu yenye hisia sana kwa mwanamke, lakini siyo sehemu pekee yenye msisimko kwenye...
  8. m_ustar

    Siku 350 bila punyeto wala picha za ngono

    Kiongozi Ukiacha Kujichua na usifanye Ngono unakuwa na Withdrawal kama Maumivu ya Sehemu za Siri(Blue Ball),Maumivu ya Kichwa,Kubadiika kihisia(Mood Swing),Usingizi usiowakawaida,kutetemeka Mwili,Kichefuchefu,Flatline(umee kutokusisimka kwa Muda Flani) n.k kutegemeana na Mtu. Sent using Jamii...
  9. m_ustar

    Siku 350 bila punyeto wala picha za ngono

    Kiongozi Punyeto ina Withdrawal Symptoms kama Addiction zingine zote Mf.Cocaine,Video Games,Gambling n.k maana eneo linalo athirika kwenye Ubongo wa Binadamu ndilo hilo hilo linalo husika na Addiction(URAIBU),nina ushahidi na hili 100%. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. m_ustar

    Uhusiano wa HIV na Hepatisis B

    Nnashukuru sana kwa Maelezo Mafupi ya kilaamu na yenyekueleweka, Swali dogo tu la nyongeza inamaana wanaopewa chanjo(Vaccination) ya Hepatitis B maana yake hawana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI sio? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. m_ustar

    Uhusiano wa HIV na Hepatisis B

    Salaam wakuu, Ningependa kusaidiwa maelezo ya kitaalamu kwanini muathirika wa Virusi vinavyosababisha UKIMWI hawezi pewa chanjo ya ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B), kuna uhusiano gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. m_ustar

    Ni ipi ligi bora kati ya La Liga na EPL?

    ..maana yake hata Seria A ni bora zaidi kuliko EPL maana Cr7 ana wastani mdogo sana wa Magoli kuliko ilivyokuwa EPL.
  13. m_ustar

    Isome kwa tafakuri

    ...aliye mtia UMASIKINI(wa kifikra) Afrika analia kwa yanayomsibu..
Back
Top Bottom