nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
- Thread starter
- #41
Mkuu nasikia watu wengi wanasema viagra au hizi dawa dawa nyingine zinafanyika kama Booster ila haziponyeshi sijui Kuna kaukweli hapo
Sikia Mkuu,wengi wanazunguuka tu ukweli ni kuwa unatatizo la kupungukiwa nguvu za kiume.cha kwanza angalia kama kitu kinasimama na kwa hili miki nashauri kitu ambcho wengi wanaweza kupinga lakin ni njia haraka na ya kwanza kujua upoje,nacho ni jaribu 'Viagra'.kama vidonge hivi vitashindwa kukufanya udise tena basi we tatizo lako ni kubwa,lakin kama utasimamisha bas tatizo lako litakuwa ni dogo na la mda mfupi.
Hiz dawa huwa wanatumia wazee ambao nguvu za kiume zimewaishia kabisa.
Hakikisha tu sio fake.