Super Ballon d'Or

m_ustar

Member
Jul 1, 2018
31
57
Hii ni tuzo ambayo hutolewa mara moja kwa miaka 30,ambapo hadi sasa aliwahi kuishinda ni Alfredo Di Stephano Pekee yake mnamo mwaka 1989.

Kuna kinyang'anyiro cha mkumpata Mshindi Mpya kwa muda wa miaka 30 iliyo pita tokea Mwaka 1990 hadi Sasa ambapo kuna Orodha ya Wachezaji Walio Staafu na wakiwemo Cr7 na Messi kwenye Kinyang'anyiro cha kumpata Mshindi, swali ni je, nani kuibuka Mshindi katiya;

Lionel Messi

Cristiano Ronaldo

Ronaldo Nazario

Zinedine Zidane

Andriy Shevchenko

Roberto Baggio & Lothar Matthäus

Hristo Stoichkov

Robert Lewandowski

Ronaldinho

Rivaldo

Kaka

Luis Figo & Luka Modric

Thierry Henry

Andres Iniesta & Matthias Sammer

Karim Benzema & Michael Owen

Pavel Nedved

Marco van Basten, Jean-Pierre Papin , George Weah , Fabio Cannavaro & Xavi Hernandez

Dennis Bergkamp

Neymar

Raul

Paolo Maldini.

Jurgen Klinsmann, David Beckham & Gianluigi Buffon.

Roberto Carlos

Sadio Mane

Davor Suker & Dejan Savićevic

Darko Pančev, Salvatore Schillaci, Zlatan Ibrahimovic, Deco, Predrag Mijatović, Oliver Kahn, Frank Lampard , Antoine Griezmann & Virgil van Dijk

Didier Drogba & Kylian Mbappe

Steven Gerrard, Kevin De Bruyne & Mo Salah

Iker Casillas, Andrea Pirlo & Samuel Eto’o

Luis Suarez, Jari Litmanen , Eric Cantona, Alessandro Del Piero & Gabriel Batistuta

Maoni yenu na Uchambuzi wana Soka...
 
Hii ni tuzo ambayo hutolewa mara moja kwa miaka 30,ambapo hadi sasa aliwahi kuishinda ni Alfredo Di Stephano Pekee yake mnamo mwaka 1989.

Kuna kinyang'anyiro cha mkumpata Mshindi Mpya kwa muda wa miaka 30 iliyo pita tokea Mwaka 1990 hadi Sasa ambapo kuna Orodha ya Wachezaji Walio Staafu na wakiwemo Cr7 na Messi kwenye Kinyang'anyiro cha kumpata Mshindi, swali ni je, nani kuibuka Mshindi katiya;

Lionel Messi

Cristiano Ronaldo

Ronaldo Nazario

Zinedine Zidane

Andriy Shevchenko

Roberto Baggio & Lothar Matthäus

Hristo Stoichkov

Robert Lewandowski

Ronaldinho

Rivaldo

Kaka

Luis Figo & Luka Modric

Thierry Henry

Andres Iniesta & Matthias Sammer

Karim Benzema & Michael Owen

Pavel Nedved

Marco van Basten, Jean-Pierre Papin , George Weah , Fabio Cannavaro & Xavi Hernandez

Dennis Bergkamp

Neymar

Raul

Paolo Maldini.

Jurgen Klinsmann, David Beckham & Gianluigi Buffon.

Roberto Carlos

Sadio Mane

Davor Suker & Dejan Savićevic

Darko Pančev, Salvatore Schillaci, Zlatan Ibrahimovic, Deco, Predrag Mijatović, Oliver Kahn, Frank Lampard , Antoine Griezmann & Virgil van Dijk

Didier Drogba & Kylian Mbappe

Steven Gerrard, Kevin De Bruyne & Mo Salah

Iker Casillas, Andrea Pirlo & Samuel Eto’o

Luis Suarez, Jari Litmanen , Eric Cantona, Alessandro Del Piero & Gabriel Batistuta

Maoni yenu na Uchambuzi wana Soka...
Hapo Ronaldinho hana mpinzani!! Ukiona clips zake you tube huwezi kuamini dunia iliwahi kuwa na mtu anayejua kuutawala mpira na kuuamuru anavyoptaka!! Mabeki alikuwa anawageuza atakavyo!! Ronaldinho ni habari nyingine kabisa!!
 
Hapo Ronaldinho hana mpinzani!! Ukiona clips zake you tube huwezi kuamini dunia iliwahi kuwa na mtu anayejua kuutawala mpira na kuuamuru anavyoptaka!! Mabeki alikuwa anawageuza atakavyo!! Ronaldinho ni habari nyingine kabisa!!
Nipo nawe ila upande wa pili kuna JJ Okocha, hapo uamuzi unakua mgumu sana kwangu ,ila hawa wawili kwangu wangepewa hii zawadi
 
Sekilojo Chambua Kama Sio Omar Mnyepe.

Jibu wanalo Mana list ndeefu ila waliodumu kwenye ubora kwa miaka 10+ hapo ni njemba 2 ... Leoo na Ronie7.
#Cuccitini
 
Back
Top Bottom