Recent content by m3zi

  1. M

    Mbowe: Tukio la mlipuko lina mambo mengi ndani yake

    Hamy D we ni SHO 4 GA.
  2. M

    Waziri Nchimbi, Mulongo wazomewa viwanja vya Soweto - Arusha

    wawafungie basi kama walivyowafungia wanachuo wa IAA. Huyu jamaa ni kilaza kinyama.
  3. M

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    Kwa makuyuni chechemea wanaelekea kushinda. kati ya vituo 14 vituo vilivyojumlishwa ni nane na ushind wa figure kubwa dhidi ya wapinzani wao CDM.
  4. M

    Japo walidhni watatuchanganya kiakili,kura kupiga kwanza vingine baadae sana.

    ni kweli wameairisha makamanda. nadhani wanataka watuletee fedha kutununua maan walishaona kuwa wanapumulia mashine.
  5. M

    Japo walidhni watatuchanganya kiakili,kura kupiga kwanza vingine baadae sana.

    Tuna viongozi VILAZA kinyama Arusha hii.
  6. M

    Lema na wafuasi wake wavamia kituo cha polisi

    we endelea tu kutumika kama condom, njoo arusha ujionee hali halisi na si kuambiwa na magazeti kupitia taarifa za waandishi wa habari makajanja hao.
  7. M

    Lema na wafuasi wake wavamia kituo cha polisi

    A you sure is a troublemaker?
  8. M

    Japo walidhni watatuchanganya kiakili,kura kupiga kwanza vingine baadae sana.

    Ratiba yangu ya siku ya leo 1. Naenda shule ya sec. Kimandolu kupiga kura. 2. Naingia kanisani kujumuijka na wenzangu ibada ya pili kumwomba Mungu leo mabomu yawalipukie wao wenyewe. 3.Kurudi eneo la kupig kura kuhakikisha hakuna anayepita na hot pot na chupa za chai za kura feki kama Arumeru...
  9. M

    Nape katua Arusha, kapokelewa kishujaa!

    KIMANDOLU? Labda ungeniambia Arumeru magharibi.
  10. M

    Master PLan ya Mji mpya wa Singapore

    Ama kweli wanayoiaribu nchi yetu ni wasomi, Mama Tiba naomba uirekebishe kwanza Manzese kisha uende kw Mnyamani Buguruni theni ukamalizaie ya kigamboni ndo uje hiyo ya singapore maan inaonekana mkijaenda namtumbo na kibandasamaki mtatuletea nyingine. fnya hivyo kabla ya 2015.
  11. M

    Mgombea wa TLP kata ya Elerai ahamia CHADEMA

    Wagojw wanapona kwa kasi kweli, naamini mpaka jmosi jioni kama mwigulu na nape wataendelea kuwepo nao wakuja CDM. Wamuulize kw nini kibajaji hajatak kurudi?
  12. M

    Vijana waipasuwa CHADEMA Sumbawanga

    kwa hiyo aliyenyimwa haki ni MPINI siyo?
  13. M

    Huyu ndiye mh. Mbowe na hatari ya kujikanyagakanyaga kwenye kauli zake,amekosa msimamo kupita kiasi

    mwanasiasa wa ukweli ni lazima awe dynamic na si static kama unavyotaka wewe.
Back
Top Bottom