Ratiba yangu ya siku ya leo
1. Naenda shule ya sec. Kimandolu kupiga kura.
2. Naingia kanisani kujumuijka na wenzangu ibada ya pili kumwomba Mungu leo mabomu yawalipukie wao wenyewe.
3.Kurudi eneo la kupig kura kuhakikisha hakuna anayepita na hot pot na chupa za chai za kura feki kama Arumeru...
Ama kweli wanayoiaribu nchi yetu ni wasomi, Mama Tiba naomba uirekebishe kwanza Manzese kisha uende kw Mnyamani Buguruni theni ukamalizaie ya kigamboni ndo uje hiyo ya singapore maan inaonekana mkijaenda namtumbo na kibandasamaki mtatuletea nyingine. fnya hivyo kabla ya 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.