Molemo,hata kama unayo sema ni kweli itakua ngumu sana watu kukuamini
Nimeshangaa sana leo nilikuwa mkutano wa CDM kata ya Kimandolu ghafla nikaona kundi kubwa la vijana wanasukuma gari, kuangalia kwa karibu nikaona gari la Nape linasukumwa na vijana wanaimba "Lema byebye"! Nikaambiwa Chalii wa CCM ameingia mjini kuja kumzika Lema! Mkutano wa Chadema ukavurugika vijana wakahamia kushangaa msafara wa Nape.
Hali ya Chadema na Lema Arusha taabani kabisa!
Kila siku anatukana watu anaowaita Kanda ya Kaskazini.Leo kafuata nini huko?
Ilitakiwa iwe hivi:
NAPE AZOMEWA KISHUJAA ARUSHA
Nimeshangaa sana leo nilikuwa mkutano wa CDM kata ya Kimandolu ghafla nikaona kundi kubwa la vijana wanasukuma gari, kuangalia kwa karibu nikaona gari la Nape linasukumwa na vijana wanaimba "Lema byebye"! Nikaambiwa Chalii wa CCM ameingia mjini kuja kumzika Lema! Mkutano wa Chadema ukavurugika vijana wakahamia kushangaa msafara wa Nape.
Hali ya Chadema na Lema Arusha taabani kabisa!
tatizo makamanda wa arusha mnaniudhi hamrekodi hata kwa simu hayo matukio..fanyeni hivyo basi
Molemo,hata kama unayo sema ni kweli itakua ngumu sana watu kukuamini