Nimejitokeza kutafta kazi humu ndani kwa mtu yeyote anaejua kama kuna kampuni inatafuta mtu wa mechanical anifamishe kupitia pm yangu,
Natanguliza shukurani zangu kwenu wadau.
Jaman hivi mchezo wa Ivory cost ulikuwa halali kweli! Mbona penati waliyopewa jamaa kama co halali au ndio ngozi kila siku niyakuonewatu? Mnasemaje wanajamvi juu ya hilo.
Yaah! Inawezeka, utakapo maliza kufanya Registration utaandika barua ya kubadili coz, then utasubili majib ya barua yako ya mda wa wiki kadhaa km utakuwa umefanikiwa utasoma coz yako mpya n kama jina lispotoka basi utaendelea kusoma course uliyopangiwa tangu mwanzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.