huyu jamaa kachaguliwa kuwawakilisha wananchi wa Arusha na matatizo yao bungeni na sio chama na matatizo yake bungeni.cha kuchekesha ni kwamba,jamaa muda wote yupo na wananchi wake wakiponda ccm hv,matatizo ya wananchi wake atayawasilisha lini serikalini?ndo mana huyu mama anasema,jimbo limekosa...
umemjibu kikubwa.huyo bado ni mtoto ungemjibu kitoto tu.na kama ni mkubwa basi anawalakini.manake mkubwa kumwambia mkubwa mwenzake mambo ya kitoto tunasema hapo kunawalakini!!!
Wale ni wazee wa msuli.mtu kama c.ronaldo wakimgongagonga kdgo anapotea kimchezo.lkn pia hawa german wanamapafu ya mbwa muda wote wako fiti.ndo siri ya mafanikio yao.so madrid na kaka yake barca wajipange vzri.
Kenya kila mmbunge ni dk5 na wanatema mapoint tu.sasa wabunge wetu midomoni wamejaa pumba tu afu uwape zaidi ya dk5 hapo watakachokifanya ni kuchafua hali ya hewa bungeni.hzo 5 ni nyingi mno kwa upuuzi wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.