Recent content by lyalya

  1. lyalya

    Am chosen one

    Mimi naona haya mambo yanawatokea watu ambao hawako bizy sana yaan hawana kazi za kuwaza kwahyo muda mwingi wanautumia kuwaza vitu vya namna hiyo nataka nikwambie ndugu kama ungekuwa unamiliki kampuni au unaongoza taasis ya kukufanya kuwa bizy huwez kuwa illusion kias hicho kwahyo nakusihi...
  2. lyalya

    Mapinduzi ya Mijadala JamiiForums: Zana Mpya za Akili Unde (AI) zinakuja Wikendi hii!

    Ndio hii inaonesha jinsi gani unaweza kwendana na mahitaji ya muda jambo jema
  3. lyalya

    Nimefukuzwa Kazi kwa sababu ya "Chapisho la Kisiasa"

    Ndio maana kote duniani wamiliki wa makampuni na matajiri wako upande wa mtawala sio kwa bahati mbaya
  4. lyalya

    Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

    Ndege wanao fanana
  5. lyalya

    Maandamano ni haramu katika dini. Mkifa kwa ajili ya kuandamana nakuhakikishieni mnakwenda motoni

    Hakuna jambo lolote linaitwa maandamano litatokea hapa nchini hizo ni kelele za mitandaoni watu wa vijijini hawana habari na maandamano wako bizy na kazi zao all in all hatujafikia hatua hiyo nchi yetu ni zaidi ya hizo kelele
  6. lyalya

    Gerson Msigwa azomewe siku ya Mwananchi

    Bado tuna safari ndefu
  7. lyalya

    Mnishauri, nahitaji kuacha ajira Serikalini ili nisimamie biashara zangu

    Usiache kazi omba likizo na usirudi wakufukuze wao kwa kosa la utoro kazini hiyo itakusaidia hapo badae
  8. lyalya

    Mkristo ambaye hufungi na kuomba unatumia mbinu gani kujilinda na wachawi kwenye Biashara na maofisini?

    Sema ndugu ujasili ulio nao sijui unaupata wapi maana wengi waliokuwa kama wewe waliishia kupata matatizo makubwa
  9. lyalya

    Mkristo ambaye hufungi na kuomba unatumia mbinu gani kujilinda na wachawi kwenye Biashara na maofisini?

    Ndugu hii dhambi kubwa sana jitahidi kutubu isije kukutafuna wewe na kizazi chako
  10. lyalya

    Marriage is an outdated concept

    Nimepitia kwa kina mada hii naona huu ni mjadala wa Kitaifa
  11. lyalya

    Marriage is an outdated concept

    Safi sana umeongea vyema
  12. lyalya

    Marriage is an outdated concept

    Jaribu mwalimu ila kwa nesi usijaribu ni hatari sana kwako
Back
Top Bottom