Nimekuwa mfanyakazi wa mgodi wa Bulyanhulu kwa muda wa miaka 9 na ninachofikiri watu wanatoa mawazo yao hawaelewi nini kinaendelea pale.si vibaya tukieleweshana Bulyanhulu wanazalisha mchanga ambao unaitwa copper concentrate concentrate inajazwa kwenye contena za ft 20 na inasambazwa vizuri kwa...
Huyu NEPI nafikiri ana matatizo ya akili, mbona anapingana na kauli zake mwenyewe, kweli ccm imepoteza mwelekeo na inaishi kwa ujinga wa watanzania,ujinga wetu ndiyo mtaji wa ccm kwa sasa
Tatizo letu watanzania njaa zinatusumbua tunadanganyika na vitu vidogo vidogo tu, leo hii ukiniambia majenereta yataozea stoo ni kama tunajidanganya kwani mgao ni kama unaendelea. kanga ,fulana na kofia ndiyo zinavyofanya watu wampigie debe. Profesa amemwaga hele sana mpaka kwenye vyombo vya...
Nimeamini kama kweli huyu jamaa ndiyo amepewa uongozi CCM basi kweli CCM ni janga la TAIFA, yaani mwigulu anacheza na maisha ya watanzania. ndiyo maana amemweka mwenzake aliyemwagiwa tindikali kama mtaji wake wa kisiasa kila anakokwenda anaye. MWIGULU shame on you
Naona wabunge wote wa sisim wanashangilia lakini chuki wanayoipandikiza ni mbaya sana, ni sawa na huu udini ambao hata mzee wa fastjet baada ya kuutatua naye analalamika. kuna siku historia itachukua mkondo wake
Nimefuatilia kwa makini sana maelezo yanayotolewa na Shoza pamoja na Mwampamba toka wafukuzwe CHADEMA na naingiwa na wasiwasi kwa vyombo vya usalama kufumbia macho, chuki inayopandikizwa na hawa jamaa ni hatari,tusingoje maswahibu yatukute ila vyombo vya usalama vinabidi kuchukua hatua mapema...
Hakuna kitu, nyie mlienda picnic hata mavazi yenu yalikkuwa tofauti na ya wenzenu harafu unasema ummejifunza uzalendo wakati tayari kulikuwa na madaraja.
Kitu ambacho kimenishangaza ni kuona kwamba hawa waheshimiwa wote walikuwa na sare za rangi tofauti na wenzao kitu ambacho kilijenga utofauti na hii inaonyesha hata treatment zilikuwa ni tofauti
Huyo mtangazji ni hamnazo, hii inaonyesha ni jinsi gani watangazaji wetu wanavyokimbilia fani ambazo hawaziwezi.ushauri wangu wa bure huyu jamaa ajaribu kufuatilia watangazaji wenzake hata wa vyombo vya nje ili aweze kujiendeleza katika fani yake.Inaonekana huyu jamaa alipata kazi wakati wa...
Inaonekana bado ujakutana na mkono wa sweta siku ya kuja kukutana nao ndiyo naomba uweke comment yako hiyo, mimi naona utaendelea kuwatafuta hao wenye mikno ya swetw
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.