Quarterpin
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,253
- 1,083
Hii ishu imemkalia vibaya sana huyu mzee,manake navyoona mm uamuzi wowote atakao utoa utakuwa na madhara,ngoja tuone manake mpaka mtu uwe rais tena wa watu weusi unakuwa umeshakuwa exposed na fitna za kila aina.