Dr.Swillah
Member
- Dec 29, 2013
- 80
- 32
Uchaguzi ukikaribia,mchakato ukianza atasema "Wananzengo wameniomba nigombee"uongo mtupu!
eti ili wapinzani wake wabweteke
Uchaguzi ukikaribia,mchakato ukianza atasema "Wananzengo wameniomba nigombee"uongo mtupu!
Itafika mahala tuanze kuulizana makabila jf soma ulichoandika mkuu kichwa cha habari ni tofauti na uliyoandika ndani au unamatatizo ya H?.mkurugenzi mtendaji wa Global Publisher Ndg Erick Shigongo amesema katika maisha yake yote yaliyobaki hapa Duniani Atagombea tena Ubunge ameyasema hayo wakati akikabidhi msaada wa Gari la Wagonjwa Huko Sengerema amesema kuwasaidia watu sio lazima uwe Mbunge ndipo uweze kutoa msaada yeye ajatoa msaada wa gari kwa nia ya kugombea ubunge bali ni moyo wa kutoa hivyo ajatoa kwa nia ya kuwa mbunge.
N.B JE MH E.LOWASA NAYE ANATOA MISAADA LAKINI HANA MPANGO WA KUWANIA URAISI?????
mkurugenzi mtendaji wa Global Publisher Ndg Erick Shigongo amesema katika maisha yake yote yaliyobaki hapa Duniani Atagombea tena Ubunge ameyasema hayo wakati akikabidhi msaada wa Gari la Wagonjwa Huko Sengerema amesema kuwasaidia watu sio lazima uwe Mbunge ndipo uweze kutoa msaada yeye ajatoa msaada wa gari kwa nia ya kugombea ubunge bali ni moyo wa kutoa hivyo ajatoa kwa nia ya kuwa mbunge.
N.B JE MH E.LOWASA NAYE ANATOA MISAADA LAKINI HANA MPANGO WA KUWANIA URAISI?????
Unamaanishaje?
mkurugenzi mtendaji wa Global Publisher Ndg Erick Shigongo amesema katika maisha yake yote yaliyobaki hapa Duniani Atagombea tena Ubunge ameyasema hayo wakati akikabidhi msaada wa Gari la Wagonjwa Huko Sengerema amesema kuwasaidia watu sio lazima uwe Mbunge ndipo uweze kutoa msaada yeye ajatoa msaada wa gari kwa nia ya kugombea ubunge bali ni moyo wa kutoa hivyo ajatoa kwa nia ya kuwa mbunge.
N.B JE MH E.LOWASA NAYE ANATOA MISAADA LAKINI HANA MPANGO WA KUWANIA URAISI?????
mkurugenzi mtendaji wa Global Publisher Ndg Erick Shigongo amesema katika maisha yake yote yaliyobaki hapa Duniani Atagombea tena Ubunge ameyasema hayo wakati akikabidhi msaada wa Gari la Wagonjwa Huko Sengerema amesema kuwasaidia watu sio lazima uwe Mbunge ndipo uweze kutoa msaada yeye ajatoa msaada wa gari kwa nia ya kugombea ubunge bali ni moyo wa kutoa hivyo ajatoa kwa nia ya kuwa mbunge.
N.B JE MH E.LOWASA NAYE ANATOA MISAADA LAKINI HANA MPANGO WA KUWANIA URAISI?????
Kiswahili sahihi ni "hatagombea" na si "atagombea" hizi ni maana mbili, tofauti wahitimu wa sasa mbona ha na a inawasumbua sana???
Kiswahili sahihi ni "hatagombea" na si "atagombea" hizi ni maana mbili, tofauti wahitimu wa sasa mbona ha na a inawasumbua sana???
Ongera mwaya shigongo mwaaaaaaa
Ni kawaida ya wanaisa uchwara kama wakina Zitto na Membe, kwa kauli za uongo uongo
Kiswahili sahihi ni "hatagombea" na si "atagombea" hizi ni maana mbili, tofauti wahitimu wa sasa mbona ha na a inawasumbua sana???
Kweli bwana hatw mimi amenichanganya sikuelewa maada yake. Huyu ni mhamiajia haramu aliyebaki nini.mbona kiswahil taabu