Recent content by LWITTER 2010

  1. LWITTER 2010

    TCRA huu wizi wa Makampuni ya simu mbona mmeufumbia macho? Angalieni Airtel

    Na Airtel huku kwetu mawasiliano yamekua ya shida kama siku tano. Halafu hakuna kinachoendelea kwa wanatutabisha sana.
  2. LWITTER 2010

    Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mtoto wake kwa kumtupa mtoni

    Ujinga ni kitu kibaya sana. Miaka ijayo anataka kusumbua ndugu jamaa na marafiki na kulalama na kwenda kwa waganga na wachungaji kuomba apate mtoto.
  3. LWITTER 2010

    Moto wateketeza bweni Shule ya Sekondari Oljoro

    Duuh!! Huu moto sasa unatshia kwenye shule za bweni. Mbona siku zinavyozidi kwenda na kasi ya moto inazidi kuongezeka. Hatuna budi kumuomba Allah atuepueshe na haya majanga ya moto.
  4. LWITTER 2010

    Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

    Kwa kweli kuna mdada mmoja nilikaa nae siti moja alikuwa anatapika hasa akila kitu. Ila cha ajabu kila kitu akiona kwenye gari ananunua na akila anatapika. Yaani alinikera sana yule mdada siku ile.
  5. LWITTER 2010

    Tabia za kishamba za mabasi ya mikoani

    Duuh hili suala linakera sana, siku moja nilikaa na mdada mmoja kutoka Dar hadi mkoani yule mdada kutapika hasa akila kitu. Ila k
  6. LWITTER 2010

    Yeye anakula wake wa wenzie, kasikia nimekula mke wake ananitafuta

    Ujumbe ndio huo[emoji120][emoji120][emoji120]
  7. LWITTER 2010

    Mtu akikuomba ushauri kwa jambo kama hili utamjibu nini?

    Mwambie kuwa malipo ni hapa hapa duniani analofanya yeye kwa mtoto huyo, ajue nae mtoto wake atakuja kufanyiwa tu. Pia wadada Kama unajijua una roho mbaya usiolewe Bora uwe unadanga tu.
  8. LWITTER 2010

    Unawezaje kutaka mahusiano na mke mwenzako na huku unamuibia mume?

    Ila hii tabia si kwa wanawake tu hata wanaume wanayo tabia hii. Kwa kweli marafiki wengine tunapaswa kuwaepuka.[emoji120][emoji120][emoji120]
  9. LWITTER 2010

    Idada ya wanafunzi ni kweli?

    Kwa primary na secondary wanafunzi wa like ni wengi sana kuliko wa kiume.
  10. LWITTER 2010

    Musoma: Shule yanusurika kufungwa kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kishirikina

    Ama kweli hii ni ni afrika ambayo ujinga huthaminiwa.
Back
Top Bottom