cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kuna wanawake wanahatarisha maisha yao na kama wanaume ndio wanawashauri hivyo wakiwa huko mafichoni basi wamechemka
Mwanamke unakuwa na mchepuko na mume wa mtu halafu unatumia mbinu mbalimbali ili muwe kwenye mahusiano ya kishosti na mke wake ili asikushtukie au akujengee uaminifu au ety ikiwezekana akuzoeee kuwa mke mwenzake
Yaani kwa hili,napinga hayo mawazo ya wanawake,ukiwa mwizi kaa mbali kabisa na mmiliki akijua na huku unajifanya ni shost utakwisha
Mpaka wengine kama wana uwezo kiuchumi na kama familia ile ipo chini,ety mwanamke anakuwa anamnunulia vizawadi mwanake mwenzio,ukiuliza vya nini ety anadai wanataka wawe marafiki (shost)
Mwanamke mwenzangu ukiona hivyo ujue mume wako ni marioo kwa huyo mwanamke
Mwanamke unakuwa na mchepuko na mume wa mtu halafu unatumia mbinu mbalimbali ili muwe kwenye mahusiano ya kishosti na mke wake ili asikushtukie au akujengee uaminifu au ety ikiwezekana akuzoeee kuwa mke mwenzake
Yaani kwa hili,napinga hayo mawazo ya wanawake,ukiwa mwizi kaa mbali kabisa na mmiliki akijua na huku unajifanya ni shost utakwisha
Mpaka wengine kama wana uwezo kiuchumi na kama familia ile ipo chini,ety mwanamke anakuwa anamnunulia vizawadi mwanake mwenzio,ukiuliza vya nini ety anadai wanataka wawe marafiki (shost)
Mwanamke mwenzangu ukiona hivyo ujue mume wako ni marioo kwa huyo mwanamke