Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,648
Fool
Hata vitabu vya dini vina kili uchawi upo, sasa wewe kichwa maji unasemaje uchawi haupo.
“vina kili” ndo nini? Juha kabisa wewe.
Uchawi haupo.
Fool
Hata vitabu vya dini vina kili uchawi upo, sasa wewe kichwa maji unasemaje uchawi haupo.
Hao wote uliowataja wanatokea Kanda Maalum "Tarime"...sio Musoma VijijiniWaanchari na waanchoki.
Mwita Marwa
Chacha Mwita
Mkuu sema hivyo kwa kuwa hayajakukuta, ila siku yakikufika ndio utajua!! Mimi nilikuwa mbishi sana tena inawezekana hata zaidi yako, lakini yalipo nifika!!Uchawi haupo!
Kinachowasumbua ni ujinga [kwa maana halisi ya ujinga] tu.
😝😝😝😝Kura zilienda kwa mkuu wa wilaya(DC)...Habari haijaisha.. Baada ya kupiga kura nini kilifuata!?
Uyo kiazi mmoja anatafta umaarufu kwa kushikilia misimamo ya kishubwadaFool
Hata vitabu vya dini vina kili uchawi upo, sasa wewe kichwa maji unasemaje uchawi haupo.
Uchawi haupo!
Kinachowasumbua ni ujinga [kwa maana halisi ya ujinga] tu.
Ndugu zangu hawako hivyo hao ni wajitaHao Waruri na Wakwaya shida sana!
Akifunga shule ndio wachawi watakuwa wamefanikiwa lengo lake. Mkuu wa wilaya tena mkristo asijifanye hajui nini cha kufanya hata kama ni shule ya serikali. Kama hajui cha kufanya basi ajue kwa Yesu Kristo ndio dawa ya yote hayo, amtafute mtumishi wa Mungu Aliye Hai amalize mambo hapo mapema asubuhi.Mkuu wa wilaya ya Musoma, Vicent Naano ametoa wiki moja kwa wananchi wa kijiji Kakisheri kata ya Nyakatende wilaya ya Musoma Vijijini wanaojihusisha na matukio ya kishirikina kuacha vitendo hivyo haraka na endapo vitandelea basi atafunga shule na kuwahamisha walimu wa Shule ya Msingi Kambarage.
Shule hiyo imekuwa ikikabiliwa na matukio yasiyo ya kawaida ikiwemo walimu kuingiliwa kimwili nyakati za usiku, kulazwa nje na wanafunzi kudondoka ovyo na kupiga kelele.
DC Naano ametoa maagizo hayo baada ya kutokea kwa tukio la wanafunzi wa darasa la saba katika shule hiyo kuanguka na kupiga kelele, kukuta chakula aina ya makande kikiwa kimewekwa chooni hali iliyowalazimu walimu, wazazi na wanafunzi kupiga kura ili kubaini anayefanya matukio hayo kwa imani ya kishirikina.
IPP
Hakuna uchawi.Mkuu sema hivyo kwa kuwa hayajakukuta, ila siku yakikufika ndio utajua!! Mimi nilikuwa mbishi sana tena inawezekana hata zaidi yako, lakini yalipo nifika!!
😂😂😂😂😂😝😝😝😝Kura zilienda kwa mkuu wa wilaya(DC)...
Eti anatishia kufunga shule,hajui kuwa ndo wanachotaka hao watu wa giza!Akifunga shule ndio wachawi watakuwa wamefanikiwa lengo lake. Mkuu wa wilaya tena mkristo asijifanye hajui nini cha kufanya hata kama ni shule ya serikali. Kama hajui cha kufanya basi ajue kwa Yesu Kristo ndio dawa ya yote hayo, amtafute mtumishi wa Mungu Aliye Hai amalize mambo hapo mapema asubuhi.
Huko kwenu Shinyanga fisi zinafukua makaburi. Kwanini huko tu?.Hakuna uchawi. Achana na ujinga.