Kuna brand fulani ya Tecno naskia ina camera moja lakini kwa nyuma wameweka maduara 3 ili ionekane kama i phone kwa hiyo kuna asili fulani ya utapeli kwenye simu za tecno!!
Saaana ndugu yangu ilikua ukienda kuchukua nae form ya kugombea nafasi yake huchukui round futi 6 kwenye moyo wa ardhi tunakufukia hana utani huyu mtu anyway........R.I.P
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.