Wanazo sababu ya kuyasema hayo maana kwenye mechi zao mbona kunakua na mapengo ya watazamaji, week end hii wana mechi kubwa dhidi ya mamelodi ndo kwanza jukwaa la mzunguko wanaingizwa bure 90% inakujaje hapo!!!
NI wakati ambao unaugua zako kisukari unahitaji chakula bora halafu mwanamke anakuambia wako wapi malaya zako........ duuuuh mke wangu moyoni mwako ndo uko hivyo????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.