mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,499
- 18,167
Wanawake wameweza ku maintain standard zao katika kuchagua nani wa kuwa naye. Nafkiri nature nayo inachangia, mwanamke mara nyingi ndo anafuatwa na mwanaume kwahiyo anakua ana room ya kuweka standard anayoitaka, Kwa upande wa wanaume wengi papara na tamaa ndo zimewafikisha kwenye kushusha standard za aina ya mwanamke wanaomtaka.
Kwa upande mwingine wanaume wachache ambao wako makini kwenye kufanya uchaguzi wa mwanamke wanayemtaka wanajikuta katika hali ya ngumu kwa jamii zao, coz kuna kundi kubwa wanaume ambalo limeshakubaliana na products zilizo sokoni (used) mwendo ni kusagula sagula tuu, ukionekana unakosoa sana na wao wanakukosoa na kukufanya ujione kama vile wewe ndo mwenye matatizo
You deserve this with one crate of beer 🫡