Mheshimiwa Rais Samia bado angali hai

Mheshimiwa Rais Samia bado angali hai

Hayaland mbona ni mtu mwema na mzurii sana kwenye kuchambua mada na kushaurii..

😁Sema Huwa anaupigaga mwingi na kukabia kwa juu..na mashutii zaidiii ya Wayne Rooney..

Angalizo: Kuna muda watu waliwai nishambulia na kusema pia hii ni ID's yake wapo member ambao tuna contact nao through phones wakanitetea👿👿👿
Yah alikuwa anatupa michango mingi
Tatizo alikuja kukamatika kwenye V. A. R
Akiwa na multiple IDs
Moja alitamba hapa kama mtu mwenye pesa nyingi
ID nyingine ni winga Kariakoo
ID nyingine anajifanya kutafutia watu kazi
ID nyingine akijifanya yupo USA
ID nyingine akijifanya mgonjwa wa Kansa akiomba michango ya matibabu
Hayo ndo yalitupa hofu na kuona huyu mtu sio mwema.
Na Sasa amerudi IDs nyingi, ngonja nikitulia vizuri niingie V.A.R kuichunguza
Na HAYA LAND alivo kilaza Huwa anaacha alama
 
Ndugu zangu wa JF, natumaini mko wazima wa afya.

Leo Mheshimiwa Rais ameonekana kuwa mzima. Kwa wale ambao walijipanga, walijiandaa au walitunza pesa kwa ajili ya kulewa na kuumwagilia moyo juu ya kifo cha Rais, poleni sana, kwa maana njia za Mungu siyo za binadamu.

Msife moyo. Nina ushauri juu ya hizo pesa; mnaweza kuzitumia kwa namna nyingine, kwa mfano:
  • Kuchangia yatima,
  • Kuongeza mitaji, ikiwa mitaji ni midogo,
  • Kuwatuma wazazi ili wafurahike msimu huu wa sikukuu,
  • Kuwasaidia maskini ikifaa,
  • Na shughuli nyingine zinazofaa au zinazompendeza Mungu.
La mwisho,

Tuombeane mwisho mwema, ndugu na dada zangu, kwa maana sisi sote ni wasafiri katika ulimwengu huu.
Lucas Mwashambwa amenituma nikutume ukaulize kwa iziraili ya kwamba hata lini iziraili atajitwalia roho wa samia suluhu?
 
Ndugu zangu wa JF, natumaini mko wazima wa afya.

Leo Mheshimiwa Rais ameonekana kuwa mzima. Kwa wale ambao walijipanga, walijiandaa au walitunza pesa kwa ajili ya kulewa na kuumwagilia moyo juu ya kifo cha Rais, poleni sana, kwa maana njia za Mungu siyo za binadamu.

Msife moyo. Nina ushauri juu ya hizo pesa; mnaweza kuzitumia kwa namna nyingine, kwa mfano:
  • Kuchangia yatima,
  • Kuongeza mitaji, ikiwa mitaji ni midogo,
  • Kuwatuma wazazi ili wafurahike msimu huu wa sikukuu,
  • Kuwasaidia maskini ikifaa,
  • Na shughuli nyingine zinazofaa au zinazompendeza Mungu.
La mwisho,

Tuombeane mwisho mwema, ndugu na dada zangu, kwa maana sisi sote ni wasafiri katika ulimwengu huu.
Una maana huyu muuaji ataishi milele yote? Kifo hakiepukiki hata wewe utakufa na mimi pia nitakufa
 
Ndugu zangu wa JF, natumaini mko wazima wa afya.

Leo Mheshimiwa Rais ameonekana kuwa mzima. Kwa wale ambao walijipanga, walijiandaa au walitunza pesa kwa ajili ya kulewa na kuumwagilia moyo juu ya kifo cha Rais, poleni sana, kwa maana njia za Mungu siyo za binadamu.

Msife moyo. Nina ushauri juu ya hizo pesa; mnaweza kuzitumia kwa namna nyingine, kwa mfano:
  • Kuchangia yatima,
  • Kuongeza mitaji, ikiwa mitaji ni midogo,
  • Kuwatuma wazazi ili wafurahike msimu huu wa sikukuu,
  • Kuwasaidia maskini ikifaa,
  • Na shughuli nyingine zinazofaa au zinazompende oza Mungu.
    O
La mwisho,

Tuombeane mwisho mwema, ndugu na dada zangu, kwa maana sisi sote ni wasafiri katika ulimwengu huu.
Pamoja na vijana wangu potezwa 29 Oct uyu mama simwombei kifo namwombea ajiuzuru maana ana watoto na wajukuu ,sie ndio tumepoteza, hakuna chochote naweza kulipwa mbadala wa vijana wangu, naweweseka kila mda , kila nikiangalia picha zao siamini Mungu nipe ujasiri mpya .

Kwamba nimewatunza vijana wangu alafu wamekufa kijinga tu, why ujaanza nitanguliza mie Mungu wangu
 
Hata jiwe ilikuwa hivi hivi kafa mara anajtokeza, huyu form four failure sku zake znahesabiki ni htr sn watu wakianza kudai umekufa ksa hawakuoni ujue umekaribia kwenda.
 
Kufa tunakufa ni neno la mungu lakini sio vizuri kuombeana kufa.
Vip kuhusu kuua? Maana auae kwa upanga nayeye atakufa kwa upanga. Usisahau ndugu zetu kwa maelfu damu zao zimemwagwa kwa sababu ya tamaa za mtu mmoja
 
Ni ukweli unaouma kwa kweli nawashauri mkatoe kwa watoto yatima ili ku boost energy yenu!!!
 
Pamoja na vijana wangu potezwa 29 Oct uyu mama simwombei kifo namwombea ajiuzuru maana ana watoto na wajukuu ,sie ndio tumepoteza, hakuna chochote naweza kulipwa mbadala wa vijana wangu, naweweseka kila mda , kila nikiangalia picha zao siamini Mungu nipe ujasiri mpya .

Kwamba nimewatunza vijana wangu alafu wamekufa kijinga tu, why ujaanza nitanguliza mie Mungu wangu
Wewe ndiyo bwege, ulishindwa kuwaongoza vijana wako mpaka wakaingia mkenge wa maandamano ya MangeKimambi na Maria Sarungi
 
Back
Top Bottom