Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 5,880
- 10,399
Mtoa mada hana ubingwa tena
Unamuonea wivu?Mtoa mada hana ubingwa tena
Anafaa kwa cowgirl
Huyu mapengo anajiona keki kumbe andazi kabisa🚮🚮🚮
Alishasema yeye mzuri, eti wanaume wa JF mnamuonea wivu 😅😅Huyu mapengo anajiona keki kumbe andazi kabisa🚮🚮🚮
Sasa wanaume tumuonee wivu kisa nini? Mdada yeyote mzuri tuna mpa sifa zake , ila huyo dada wa kawaida tuu kazidiwa na pisi nyingi humuAlishasema yeye mzuri, eti wanaume wa JF mnamuonea wivu 😅😅
For sure 😁😁
😄JF ya leo hii. 😊
Siyo kweli1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume wa rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.
2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hisia flan wanazipata za unyonge si unyonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.
Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.
Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitaman
DepalWewe Haszu mpaka wanaume wa Jf wakuchape makonzi ndio utatuliza hilo chogo lako😂
😄😄 Kweli huwa nahisi unyonge mkali sana, nikiona mtu wa Rika langu anashuka kwenye ndinga Kali, halafu Mimi Nina pikipiki na baskeli.1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume wa rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.
2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu, kuna hisia flan wanazipata za unyonge si unyonge, huzuni si huzuni ila kifupi tu, wanakua hawapo sawa.
Kuhusu gari, yoyote yule anaweza kumiliki ila kama hujaaliwa uzuri na unasura personal, bas tulia tu na umshukuru Mungu, hakuna kitu unaweza fanya ukabadilisha sura/shape yako.
Mi huwa nafanya makusudi, mda mwengine nikiona jamaa kakaa na demu wake, napita tu niwavuruge wote wawili. Mwanaume anapata inferiority complex, mwanamke ananitaman
😁😆😄😃😀😅🤣😂😅😅😁😄😄😄😆😅😅Andika Vizuri, unaharibu kiswahili
Hujambo mamyAbee