Recent content by luzger1

  1. L

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    Lowasa akihudhuria kikao kamati kuu CHADEMA jana Bahari beach
  2. L

    Kama si Bunge la Katiba, Samweli Sitta angekuwa Rais

    Hata ukitoa hilo bunge maalum la katiba (BMK) 6 hawezi kuwa rais
  3. L

    Hatimaye utabiri wa Kakobe kutimia

    Hizo ni ndoto bila usingizi
  4. L

    Mfanyabiashara wa madini, Mathias Manga apigwa risasi

    Hata watu waliohusika na jaribio hilo la kumvamia na kumpiga risasi, nao wanaweza kuja humu JF ku comment kuwa mfanyabiashara Mathias Manga amepigwa risasi. ili wajue watu wanasemaje! lkn tunawahakikishia kwamba watajulikana na mbele ya mungu...
  5. L

    Rostam amesahau nini kwenye siasa?

    matumizi mabaya ya mwili wako, ww mtoa mada Rio Tinto
  6. L

    Wajumbe Kamati Kuu: Ni Lowassa Pekee Ndiye wa kuibomoa UKAWA!

    Kuliko mjisumbue kuongea, ni heri mjue Lowassa ndiye Rais wetu, wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
  7. L

    CCM wakimpitisha Lowassa, UKAWA wanafanya sherehe asubuhi kabla ya kampeni

    Semeni yote! Lowassa mtamkuta magogoni
  8. L

    Mheshimiwa Rais Profesa Doctor Jakaya Mrisho Kikwete, haya majina yote ili iweje?

    wewe muite kwa jina lolote lile umjuavyo, kama ulivyotujuza ss kwamba anaitwa flan, tukamuelewa ktk mada yako uliyoleta hapa.
  9. L

    Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

    mtu ukianza ujenzi, Lazima uhakikishe kuwa hakuna bonde, wala sio sehemu ya barabara ya maji (mafuriko).
  10. L

    Mecky Sadick Awaombe Radhi waathirika wa mafuriko Dar.

    Mecky Sadick Amewakosea na anatakiwa kuwaomba Radhi waathirika wa Mafuriko wa jiji la Dar es salaam, kutokana na kitendo chake cha kuwanyanyapaa kwa kuona mvua zilizonyesha ni sahihi kuwaathiri, ili wale wanaoishi mabondeni, waweze kuhama. yeye...
  11. L

    Meck Sadick aipongeza Mvua na Kuishukuru Kwa Kuwahamisha Wakazi wa Mabondeni!

    kweli hiyo ni shida, badala ya kupiga mahesabu ya uokoaji kwanza, mtu mkubwa tena mkuu wa mkoa anaanza kuwahukumu watu walioathirika na mafuriko.
  12. L

    Msikilizeni Zitto Star TV

    Tatizo ni kuhama chama!!! Tatizo ni kuwa ACT wazalendo!!! Tatizo ni kiongozi wa chama!!.! Tatizo ni Zito!!!?
  13. L

    Mrema: Kikwete aendelee kuongoza Tanzania

    Mzee amezungumza ukweli, ni vema yale mambo muhimu, yamaliziwe kama watu watatumia katiba inayopendekezwa
  14. L

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Shida yenu kubwa ni ATM mobile, wakati mwingine unatoa hela yako toka bank kwenda m pesa, unakuta kwenye account imeshatoka, na kwenye m pesa haionekani. kama basi tatizo ni Network, inakuaje muda mwingine Inaisha zaidi ya wiki bila tatizo...
  15. L

    Tanzia: Diwani wa kata ya Olasiti (CCM) Amefariki Dunia

    R. I. P Katamboy! Japo tulikua tuna kesi ya Ardhi lkn hamna anayependa kuwa hivyo, kwa 7bu kifo ni sehemu yetu sote
Back
Top Bottom