Kuna kampuni inajiita Credit Saccos inatoa mikopo online naombeni kwa wanaoijua vizuri maana nimekuja hapa palipo address yao hakuna kampuni kama hiyo.
Nimejiribu kuwasilian nao kwa namba zao wakipokea hawatoi exactly the place walipo.
Tuwe makini maana inaoneka hawa jamaa ni hewa.link yao...
Acha kudanganya umma maana hata kabila tuu ni tofauti mbali na majina, mmiliki wa hilo bus pia ni mmiliki wa Hiace za Sharon zilizozagaa hapo mjini Arusha.
Nenda China kaka kwa pale ukiwa na malengo nakupa miezi sita hujaanza kujenga Bongo basi ujue umelogwa. Kama uko serious nitafute kwa maelezo zaidi ila nikikupa msaada wa connection kwa wenyeji pale hope nitakua nimetimiza ndoto zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.