Msaada jamani nataka kubadili my username kabisaaaa loh!......

Msaada jamani nataka kubadili my username kabisaaaa loh!......

Aisee nimewamis humu ndani usipime ndo hivyo tena nipo kijijini nafukuzana na ngedere na kwale wasile mahindi ha ha wabishi haoo!! ....... natumai mu wazima!!!............. Sasa bwana si nataka kubadili hili jina mana dah kuna watu humu ndani utasikia 'vipi Mr'jamani jamani mwishowe jinsia yangu itabadilika wallah tena naogopa....!! Wengine washantabiria ooh huyu munkari atakuwa na munkari sana kwenye naniu.. khaaa jamani mnaona wanavyonchokoza sasa nataka wasiseme tena nabadili kabisaaaa!!...... Tatizo linakuja kila ninapoweka jina nnalotaka naambiwa lipo used aah embu nisaidieni basi kuchagua liwe zurizuri la kifemalefemale ntakalolipenda ndo litakuwa username yangu mpyaa kabisaaaa! Afu atakayebahatika kunipa hilo jina humu zawadi nono itatolewa juu yake! Ha ha (msiniulize zawadi gani) haya anzeni basi nasubiria..................

Shostito Munkari hivi ulishabadilia ID yako??
 
Last edited by a moderator:
Munkari tuma jina hili mkegani au semeni, majina mazuri kabisa ya kiswahili na kitamaduni....
 
Last edited by a moderator:
Aisee nimewamis humu ndani usipime ndo hivyo tena nipo kijijini nafukuzana na ngedere na kwale wasile mahindi ha ha wabishi haoo!! ....... natumai mu wazima!!!............. Sasa bwana si nataka kubadili hili jina mana dah kuna watu humu ndani utasikia 'vipi Mr'jamani jamani mwishowe jinsia yangu itabadilika wallah tena naogopa....!! Wengine washantabiria ooh huyu munkari atakuwa na munkari sana kwenye naniu.. khaaa jamani mnaona wanavyonchokoza sasa nataka wasiseme tena nabadili kabisaaaa!!...... Tatizo linakuja kila ninapoweka jina nnalotaka naambiwa lipo used aah embu nisaidieni basi kuchagua liwe zurizuri la kifemalefemale ntakalolipenda ndo litakuwa username yangu mpyaa kabisaaaa! Afu atakayebahatika kunipa hilo jina humu zawadi nono itatolewa juu yake! Ha ha (msiniulize zawadi gani) haya anzeni basi nasubiria..................

Jiite "Sukari" maana linakaribiana na hilo la Munkari
 
Last edited by a moderator:
Mi naona usibadili mi mbona huwa naitwa kaka mara nyingi tu
 
Chagua unalopenda hapa:
a) Angel Eyes
b) Angel Heart
c) Gold
d) Golden
e) Hot Lips
f) Hot Mama
g) Joy
h) Pretty Princess
i) Sugar Mama
j) Superstar
........... Sweetie
 
Chawote,Chausiku au Tabu, kama yana watu yote jaribu Shida. Majina mazuri yakikwetu hayo.
 
Back
Top Bottom