Kuroiler Breeds

Kuroiler Breeds

Pole sana Mkuu, Chalenge wanayo pata Wafugaji wengi na wakulima ni ya Kufuga kwa Nia ya simu, Hii njia kamwe mtu huwezi fanikiwa, Hao unao waachia hawana uchungu na hiyi mali, hata wakifa kwao haiwa pain chochote, Ila wewe mwenye uchungu nazani hata kula unaweza usile, Changamoto ndo hizo ila Kama kweli mtu anataka kufuga au kulima kibaishara ni lazima uchague moja, Kuwa full kwenye kazi au kuendelea kupata hasara huku ukifuga kwa njia ya simu

Thanx I will do just that ni kuwepo kila mda hapo ingawa nina biashara nyingi nashukuru sana
 
Mkuu vp naeza nikapata fertlised eggs kutoka kwenu?ya hiyo breed,nategemea kuanza kutotolesha vifaranga napatikana moshi mkuu.
 
mkuu fertilized eggs kwa sasa hakuna, labda mpaka baadae.
namba yangu ni 0767691071 whatsap
 
Mkuu nipo dar nikiitaji kuku 50 itanicost how much kwenye usafiri
 
wakuu habari za mda huu. mwenye vifaranga ama fertilized egg wa kuroiler kwa moshi, nahitaji.
 
wakuu habari za mda huu. mwenye vifaranga ama fertilized egg wa kuroiler kwa moshi, nahitaji.
Mambo vipi, naomba nicheki kwa 0742197840 nikupe namba za mtu yupo arusha ye huwa hakosi.

Siwezi kuweka namba zake hapa sina ruhusa
 
Mambo vipi, naomba nicheki kwa 0742197840 nikupe namba za mtu yupo arusha ye huwa hakosi.

Siwezi kuweka namba zake hapa sina ruhusa

Sa si umtumie inbox mizunguuko yote ya nini? Au we dalali?
 
Back
Top Bottom