Kaka Stamina kwa nionavyo mimi huo ni mchezo umefanyiwa kutokana na mazingira mpaka hiyo sms ikaingia na uundwaji wa meseji yenyewe. Hapo atakua alimwomba mtu atengeneze sms kama iyo ili aje kuituma baada ya yeye kuwa na simu yako,lengo linaweza kuwa ni kutaka kujua tofauti ya response yako...
Jitengenezee mazingira ya kuchukulia poa vitu hasa kwa kujichanganya na wenzako,pia ukikutana na jambo mfano mtu kakukera usimtolee kauli yoyote ile mpk pale hasira zako zitakapokuwa zimeisha apo sasa unaweza kumfuata na kumwelekeza akitaka ugomvi potezea tena ukiendelea hivo itasaidia japo...
Du ni shidaa,mi mwenyewe nina rafiki angu ambaye ana boy wake na yeye anajua kuwa nina gf wangu,sasa sahz ameanza zile za kunitengenezea mazingira ya kutaka kuyajenga utasikia dada angu amesema hataki nimtambulishe mwanaume mwingine zaidi yako..eeeh jaman na my gf je?
Hiyo mbinu inasaidia mkuu von, sio lazima mtu upende kuishi maisha ya kifahari wakati kipato hakiruhusu.
Ni bora uishi kama mtumwa for good yaani badae unakuja kuishi vizuri,narudia tena kwa msisitizo kuna watu wana maduka makubwa tu,na miradi mingine mingine kibao kwa kutumia pesa ya mkopo...
Kuna kitu kaongelea mkuu sir jj naomba kuongezea experience yangu kdg, jamaa kasema wanachuo wengi wanapenda urahisi wa maisha sana kiasi cha kutumia boom lake lote kujenga shavu mpk mtu anasahau kujiwekea kiakiba.
Ukiwa na malengo kwa wenye bum lazima utatoka kupitia pesa hiyo!naomba...
Mkuu ontario pokea like kwa mchango wako, graduates tuache kuchagua kazi,eric shigongo ashawahi sema ukiona kazi kufanya shughuli unazohis znashusha hadhi yako basi nenda mbali na eneo lako kafanye shughuli hizo.
Jaman kukosa mtaji ni kigezo kidogo sana mana unaweza kutoka hata bila mtaji kuhusika
Kweli mkuu wil, wazazi huwa hawatumalizi ila ndo ivo system ya elimu ya tz nayo ni kikwazo,lakin hatujachelewa tuna chance ya kuibadili maana mabadiliko inabd yaanze na mtu mmojammoja
Habar zenu wanajamii wenzangu,
Naimani muwazima wa afya, kwa upande wangu namshukuru Muumba kwa neema ya uzima. Kichwa cha mada kihusike kwa walengwa wote, hapa nawaongelea sana sana graduates. Ni jambo la kawaida sana kukutana na vijana wengi tu mtaani wasio na ajira maalumu au kazi ya kufanya...
Naomba kuongeza maelezo kdg apo, ni kwamba nilikua nikivimeza vipande hivyo vyote kwa pamoja asubuhi na jioni then baada ya kama wiki na nusu tatizo lilipotea kabisa. Na kwa kuongezea ni kwamba tatizo hilo limenitesa karibu miaka mitatu kwa vipindi tofauti tofauti kiasi cha kuzunguka sana kwenye...
duu pole zake,nishaona pia kwa marafiki zangu kadhaa, nilichojifunza kutokana na matukio ya namna hii ni kuwa gals always ukishaanza process znazoonesha kuwa uko serious na yeye mfano kumtambulisha om basi anaanza kuibua makuu,cjui ndo wanakua wanamaliziamalizia kula ujana! Kuna mwingine naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.