Hivi haya matumizi ya "X" badala ya "S" yanawasaidia nini?
Jamani mi nashauri tujitaahidi kutoa comment zenye kujenga na ushauri ulio makini ,sidhani kama mtu asiyekuwa na akili zake timamu anaweza kujiunga na JF, hivyo basi kejel na majibu ya kukatisha tamaa iwe ni marufuku!!!!!
Ushauri wangu; jitahidi kumuelewesha atakuelewa, pia unaweza kumtafuta huyo dada aliyekosea hata kwa namba tofauti na hiyo aliotumia kutuma txt kwako then mueleze alivyokusababishia matatizo na umpatie namba ya mpenzi wako amfahamishe kuwa hakukusudia kutuma hiyo msg kwako.. nafikiri it can work. thanks.
naona umemjibu kwa level yake
Jamani mi nashauri tujitaahidi kutoa comment zenye kujenga na ushauri ulio makini ,sidhani kama mtu asiyekuwa na akili zake timamu anaweza kujiunga na JF, hivyo basi kejel na majibu ya kukatisha tamaa iwe ni marufuku!!!!!
Ushauri wangu; jitahidi kumuelewesha atakuelewa, pia unaweza kumtafuta huyo dada aliyekosea hata kwa namba tofauti na hiyo aliotumia kutuma txt kwako then mueleze alivyokusababishia matatizo na umpatie namba ya mpenzi wako amfahamishe kuwa hakukusudia kutuma hiyo msg kwako.. nafikiri it can work. thanks.
Kabla sijasema meeengi ngoja nukuambiae kitu
Hebu "vaa viatu vyake" halafu uone utafanya nini,sitaki ujipendelee bali kuwa mkweli kwa nafsi yako na uone kila ambacho ungefanya .....
Baada ya hapo jiulize kama una haki ya kumlaumu .....!!
mtangazie ndoa
Habari zenu wana mmu.
Wandugu hizi simu ni nzuri sana kwasababu zina turahisishia mawasiliano ukilinganisha na zama zile za barua.
Lakini simu hizi hizi ziki kugeukia utaziona chungu, hasa kwenye suala la mahusiano.
Nimeandika yote hayo hasa baada ya kilichonitokea mimi jana jioni , (ingawa nilikuwa Nasikia tu kwa wengine jinsi simu zilivyovunja ndoa na mahusiano yao)
Jana jioni majira ya saa kumi jioni, nilitoka na mpenzi wangu kwenda kujivinjari maeneo ya kigamboni, mji mwema, kwenye fukwe tulivu za kipepeo beach, mbali na makelele na stress za jiji la Dar es salaam.
Sasa tukiwa huko tunapata vinywaji na vilaji, mpenzi wangu alichukua simu yangu akawa anaiangalia, kwakuwa sina tabia ya kuficha wala kulock simu basi nikamwachia aiangalie.
Wakati anaiangalia-angalia simu yangu, mara message ikaingia, nikaona kabadirika sura ghafla, nilipomuuliza hakunijibu nikaamua kuichukua simu na kuangalia hiyo sms ni ya nani?
Nilipoisoma iliandikwa hivi "mambo baby, vipi uko poa,?! Jana tulipoacha pale Ulifika salama baby? Basi baby, leo jioni tukutane annex bwana , pale pa jana sikupapenda makelele mengi? Sawa baby?
Nilishtuka sana maana kusema ukweli sina mchepuko nje, nikajaribu kumuelewesha mpenzi wangu, kuwa hiyo sms imekosewa lakin hakutaka kuelewe wala nini?
Kukata mzizi wa fitina nikaamua kumpigia simu huyo dada mbele ya mpenz wangu tena nikaweka loud speaker ili naye asikie, sasa yule dada aliyetuma sms akapokea simu alipogundua amekosea sms sijui ni uoga au vipi , akakata simu then akazima kabisa ikawa haipatikani tena.
Sasa akaniachia mzozo na mpenz wangu, najaribu kumwelewesha lakin hataki amenuna, hata kupokea simu yangu hataki na kujibu sms zangu hataki, wakati kusema ukweli kabisa ile sms ilitumwa kimakosa.
Sasa wadau naombeni ushauri nifanyeje ili apate kuniamini.
mimi namuelewa sana mpenzi wako ila mapenzi ni kusameheana kama anakuwa mgumu sana kuelewa ujue ana matatizo kidogo na kama unategemea kumuoa itabidi ujitahidi kum mould awe sawa ili usipate shida kwenye ndoa
Kaka Stamina kwa nionavyo mimi huo ni mchezo umefanyiwa kutokana na mazingira mpaka hiyo sms ikaingia na uundwaji wa meseji yenyewe. Hapo atakua alimwomba mtu atengeneze sms kama iyo ili aje kuituma baada ya yeye kuwa na simu yako,lengo linaweza kuwa ni kutaka kujua tofauti ya response yako kwenye matukio au vitu vya uongo na vilivyo na ukweli au anafanya utukutu nje ili ukija usikie uhisi labda analipiza kisasi. Nimesema ivo cos hata sms inaweza thibitisha,haiwezekani mpenzi wako muachane usiku aje kukuuliza eti ulifika salama jana.duuu