Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Serikali ina mikakati ya kuongeza unemployment na si kupunguza tatizo hilo. Na mwaka huu wanamaliza na walimu mana walishanza na kada nyingine. Msipeane matumaini hewa...
 
Leo bungeni hawajaongela swala la ajira maana wengine tupo mbali na TV
 
Wanaosema ajira hazipo msiwe mnasahau kuweka na vyeo vyenu yaani kama wewe ni afisa habar wa wizara ya elimu au Tamisemi
 
jamani ajira za walimu zitatoka lini maana mtaani hali sio nzuri
 
Ni tanzania tu ambako wasio na silaha wanatishia uhai na amani wenye silaha. Point yangu hapa ni kwamba sera za nchi yetu ni magumashi tu. Nmenukuu sehemu km haipo haipo tu.
 
jamani ajira za walimu zitatoka lini maana mtaani hali sio nzuri

Punguza presha we subiria ajira utaipata tu kabla mwaka haujaisha.! je ungesoma kozi nyingine za kutafuta kazi mwenyewe ungekuaje.? we subiria ukiona hazitangazwi ujue muda haujafika muda ukifika serikali itatangaza kwamba ajira zimetoka tayari., tatizo vijana tunakuwa na haraka sana ya maisha.
 
polen cna walim, kenya wamesha ajiriwa,uganda hata rwanda pia,kuwen na roho ya subira hawo ndio viongozi wenu mlio wachagua, tuliosomea sheria wala hatuna presha ya ajira,kama ipo ni ipo tu na kama hakuna basi ni hakuna,,.
 
Daaah yaani hii serikali sijui inatuweka ktk wakati gani yaani mpaka sielewi kabisaaaaa
 
Hv hata hz nchi jirani za africa mashariki nao wanaajiri walimu moja kwa moja kama tanzania?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom