Umri ni namba tu. tunataka Rais mwenye sifa za kuwa Rais, unajipalilia wewe nini? vijana wa dot com wameifanyia nini TZ? Hao vijana wa dot com walio madarakani hakuna chochote walichoifanyia TZ zaidi ya kushibisha matumbo yao na kusafiri safiri kusiko na maana.Mnazijua changamoto a leo ninyi? au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.