Hukumu kesi ya Lema tarehe 21-12-2012

Hukumu kesi ya Lema tarehe 21-12-2012

Mkuu samahani unamaanisha nini kusema kwamba nuru ishinde,Nuru ni nani hapa,au ni nini??!!!!!!!!
 
itakuwa zawadi nzuri ya x-mass kwa wapenda haki. mungu ampe maisha marefu na yenye baraka tele LEMA
 
Atashindaje hii kesi wakati Lema alikiri mwenyewe ikulu imeingilia hii kesi??
 
hapana mkuu hapa naamanisha kwa wale waliomdhulumu haki yake watalia na kusaga meno
kwa kuabika na ndio mwisho wao kisiasa kwani watazidi kuchanganyikiwa zaidi.
na pia ni siku ambayo wengine wanatabiri ndio mwisho wa dunia kwa hivo watapata double pain
Mkuu Lokissa umepotea sana sijui ulikuwa Syria? maana naamini mawasiliano huko ni shida.

 
Katika hali ya kawaida sana, ushindi ni dhahiri labda kwa hila, kwani hakuna linaloshindikana!
 
kwani inawezekana lema akashindwa kupokea hukumu katika hali flani?

siku hizi unakuja juu sana kuchallenge wenzio na hoja za kipuuzi sana! kweli pesa ya mafisadi inapofusha watu macho! magamba bwana!!
 
kila la heri kamanda Lema.
Mungu yupo pamoja nawe.
 
Mimi naomba hilo JOPO la Majaji li upheld hiyo rufani halafu uchaguzi uiitishwe tena MUONE AIBU itakayompata Baltrida Burian na Kinana!
 
je ni kweli kwamba shinikizo ndo lililo mfanya jaji mkuu ajitoe kuhukumu kesi hii?. mia
 
Sijui kwa nini naogopa sana hiyo hukumu ,nahisi itaenda kama ilivyokuwa Mahakama Kuu!sijui kwa nini!Mungu epusha hilo!tunaomba utupe amani,wana siasa waachane na Mahakama iwe huru na huru kabisa,isiingiliwe kwa utashi wa mtu au kikundi cha watu wachache!Amen
 
"If God be for us who can be against us"
 
Hakuna ahja ya klumuomba mungu kwani mwenyewe alishasema kupitia waja na manabii wake kuwa kamwe katu giza halitaushinda mwanga
 
Back
Top Bottom