Siku ya jmoc niliupdate information za business name (mwanzo ilifanyika manually). Leo nimetumiwa taarifa ya kudaiwa 115,000/= km maintainance fee na hiyo ni since 1996. Hii inamaanisha kwa mwaka ni 5,000/= (its true, current price). Nimewapigia simu kujua km tangu 1996 charge ilikuwa ni hiyo...
Kuna siku nilienda bank ya DTB Mkoa fulani hivi kwa ajiri ya kuchukua pesa zilizotumwa kutoka nchi fulani hivi, nikajibiwa kitambulisho cha Taifa hakiwezi tumika kwa sababu hakina sahihi. Kwa hiyo hivi vitambulisho kuna baadhi ya maeneo havitumiki. Kuweni makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Video clip inayooendelea kusambaa ikimwonesha Sepede akifanya yake ina takribani wiki ila baraza la sanaa lipo kimya mpaka sasa. Kwa kumbu kumbu za haraka haraka ilipotokea issue ya nandy na billnas hawa jamaa fasta waliwaaita. Vp kunani kwa sepenga.
Serikali naona sasa inaanza kutengeneza monopoly system kwenye baadhi ya mambo. Ukitizama suala la visumbusi kwa jicho la tatu unapata mfano hai ambao ni ngumu hata kukanusha juu ya hili.
1) Gharama ya visumbusi ilikuwa ni kati ya elf
55 - 60 kabla ya kufutwa kwa channel za
bure kwe baadhi ya...
Wakati wa mfumo wa chama kimoja CCM ilikuwa ikimiliki mali karibia kila kona ya nchi hii, mpaka leo hii binafsi sijui vyanzo vya mapato ya upatikanaji wa mali hizo. Huwa najiuliza tu km vyanzo ilikuwa ni kodi kutoka kwa wananchi (enzi zile) basi kwa nini mali hizo zisirudi serikalini baada ya...
Kila movement inayofanyika ni ya kuhakikisha Serikali inakuwa na nguvu ya kutopingwa ama kukwamishwa kwa jambo lolote. Kwa mfano hili la kutaka kuua vyuo vikuu binafsi huenda ni sehemu ya mkakati wao mchafu. Pia hili la kuhakikisha baada ya muda fulani hakuna yeyote atakayemiliki pesa nyingi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.