Ulipoingia mfumo wa vyama vingi kwa nini mali za Chama Tawala ziliendelea kuwa Chini ya umiliki wa chama hicho mpaka hivi sasa?

luteadam

Member
Aug 10, 2015
71
60
Wakati wa mfumo wa chama kimoja CCM ilikuwa ikimiliki mali karibia kila kona ya nchi hii, mpaka leo hii binafsi sijui vyanzo vya mapato ya upatikanaji wa mali hizo. Huwa najiuliza tu km vyanzo ilikuwa ni kodi kutoka kwa wananchi (enzi zile) basi kwa nini mali hizo zisirudi serikalini baada ya mfumo wa vyama vingi. Waswahi wanasema mwenye pesa si mwenzako, hii kauli inathibitishwa na yanaayoendelea hivi sasa. Akili za kuambiwa changanya na zako. Naomba mwenye kujuwa vyanzo vya mapato vilivyosababisha upatikanaji wa mali hizo atupe ufafanuzi. Hapo chini ni moja kati ya kitega uchumi cha chama hicho ambapo pia kuna ofisi kuu ya chama hicho Shinyanga.
20180929_114132.jpg
 
Kudumu kwa Uzi huu maombi yanaitajika....yaani unamshika matak(o) mumemwenzio....
 
Hizi Mali bana nyingi zake tulizichangia wote that time hata ambao sasa tuko vyama vingine na tusio na vyama pia,
Ukweli ni Ubabe tu unatumika kwa sasa kuendelea kuzihodhi.
 
Back
Top Bottom