mahakama ilihukumu akashinda Madabida eti kodi zetu libido anipee bil. 60 Magu akagoma! Kweli madabida na aliyehukumu ingekuwa China wangu R. I. P Lakin Tz basi ndo maana tunapishana wakati wame Ditopile msururu wa WATZ
Kitendo cha Vingamuzi kuzimwa kisa nilipie tena elfu 12, 000tsh! wakati kingamuzi China kinanunua Karibu 12700 = dollar 6. 5 hapa nimenunua star time 76, 000/= Nimelaumu Kura yangu kwa Magufuli!!! (1) TCRA Wako wapi? kama havikulipiwa kodi Hao majambazi no 2 c W anyongwe! nitamwonaje Rais...
Ngoja mtaona kesi ya Singida kama Serikali itashinda! watatokea wanasheria wala Rushwa eti wanatetea Hilo! wakitokea nashauri watu wa Singida muangalie wanaishi nyumba zipi mtuondolee kizazi dhalimu kinachomuangusha Magufuli! maana nao wanasheria wamekuwa majambazi no 2 police wawatungue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.