Recent content by lusevya

  1. lusevya

    Kuvimba kwa Tezi Dume (Benign Prostate Hyperplasia BPH) Featured

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kufahamu dalili kuu za tez dume maana nawaswas kama ninayo hiv ili kama ninayo nifanye matibabu chapu
  2. lusevya

    Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

    Naomba kufahamu dalili za tezi dume maana kama sielewi mazingira yangu kwa sasa sijui ninayo au vip
  3. lusevya

    Ushauri wa kiafya: Kupoteza hamu ya kula ya aina yoyote

    Naomba kujua kutoka kwa madaktari 1.nini sababu inayopelekea kupoteza hamu ya kula ya aina yoyote ya chakula ili hali unajihisi kuwa na afya tele (yaan haugui hata kidogo) 2.nini sababu inayopelekea mtu kukosa haja (choo kubwa) ili hali mtu anakula chakula Mfano siku kama 3-5 bila kwenda haja...
  4. lusevya

    Wakuu wa Vyuo Tanzania, wakatazeni wanafunzi mikutano ya siasa

    Jinga sana kiumbe wewe dada yangu huyo alikuwa anapeleka barua ya kuomba field na alikuwa ndani ya gari afu ww unasema alikuwa kwenye maandamano, senge sana kwa uchungu nilionao kwa kupotelewa na dada yangu huyo kwan namm na mwanachuo hapa udsm bas ningekun'gata meno kama ungekuwa karibu yangu
  5. lusevya

    Nina michepuko mingi hadi nikilala naota majeneza tu

    Haya bana kama unadhani ni mali endelea utavuna vita vingi
  6. lusevya

    Msaada: Wazazi wamenitelekeza baada ya kuanza chuo

    Asante sana mhandisi nimekuelewa na nitajaribu kuufanyia kazi ushauri wako
  7. lusevya

    Msaada: Wazazi wamenitelekeza baada ya kuanza chuo

    Moral support kutoka kwa wazazi huleta baraka kubwa ktk maendeleo ya mtoto au na hapo hujanielewa
  8. lusevya

    Msaada: Wazazi wamenitelekeza baada ya kuanza chuo

    No bali hata siku moja kuuliza habari zozote zile za chuo hasa ktk maendeleo yangu
  9. lusevya

    Msaada: Wazazi wamenitelekeza baada ya kuanza chuo

    Ndio namaanisha wawez kunipigia hadi mm niwapigie na hata nikiwapigia hawez kuuliza kwamba unaendeleaje na wala kuujaribu kuuliza habari zozote zile za chuo kama ninaendelea vip nachuo
  10. lusevya

    Msaada: Wazazi wamenitelekeza baada ya kuanza chuo

    Nikwel nimeandika hivyo ila sio kwamba kwel mamanisha et ninadem wa namna hy hapa dar sema ni namna ya kuwaza na kujiskia niandike nn mtandaon hata kwel hy ilitokeaga kitambo kwa marafiki zangu ila elewa si maanishi kwel kk
  11. lusevya

    Msaada: Wazazi wamenitelekeza baada ya kuanza chuo

    No muda umeshakwisha ila kwakwel na najaribu kusoma sana ila bado kwan toka nilikotoka masomo ya biashara sijawahi kusoma hivyo nimekuja kuyaanzia hapa bas yananisumbua kwel
Back
Top Bottom