lusevya
Member
- Jan 31, 2018
- 30
- 12
Naomba kujua kutoka kwa madaktari
1.nini sababu inayopelekea kupoteza hamu ya kula ya aina yoyote ya chakula ili hali unajihisi kuwa na afya tele (yaan haugui hata kidogo)
2.nini sababu inayopelekea mtu kukosa haja (choo kubwa) ili hali mtu anakula chakula Mfano siku kama 3-5 bila kwenda haja ili hali mtu anakula
Naomba kuwasilisha na karibun kwa msaada wenu
1.nini sababu inayopelekea kupoteza hamu ya kula ya aina yoyote ya chakula ili hali unajihisi kuwa na afya tele (yaan haugui hata kidogo)
2.nini sababu inayopelekea mtu kukosa haja (choo kubwa) ili hali mtu anakula chakula Mfano siku kama 3-5 bila kwenda haja ili hali mtu anakula
Naomba kuwasilisha na karibun kwa msaada wenu