Recent content by lupy

  1. L

    SUA mfumo wenu unasumbua na hauna mtiririko, angalau igeni mfumo wa UDSM

    Naomba uongozi wa chuo kikuu SUA mtazame upya mfumo wenu wa kusajili wanachuo wa mwaka wa kwanza unasumbua na hauna mtiririko ulio sahii kama vipi? Muwaombe UDSM wawape mfumo wao wanaoutumia Ni hayo tu uongozi wa SUA naomba mlifanyie kazi kwani mnawapa usumbufu sana kujiunga na chuo chenu
  2. L

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Ndio mama hata kama unamatatizohuwezi kuhama labda uwe unamjua mtu tamisemi
  3. L

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Hii ndio nchi pekee watumushi hawaruhusiwi kuhama kwa sabb zao binafsi
  4. L

    Matatizo ya TV E Tanzania

    Namaanisha hawaandiki nani kaimba muziki wala jina la muziki
  5. L

    Matatizo ya TV E Tanzania

    Hii channel ni nzuri sana ila shida ni moja hawaandikiki jina la muziki wala alieimba. Wakati wimbo unachezwa
  6. L

    Uhamisho: Barua ya wazi kwa OR- TAMISEMI

    Ni pale mtu mmoja anajifanya Mungu
  7. L

    Kilimanjaro kinara wa joto nchini, hali ni mbaya kwa wakazi wa mji wa Moshi

    Kuongezeka kwa joto kunasababisha theluji kuyeyuka ni ile theluji ndio thamani ya mlima na theluji ukiyeyuko tutapoteza watali wenge sana " huko ndiko kupotea kwa mlima"
  8. L

    Kilimanjaro kinara wa joto nchini, hali ni mbaya kwa wakazi wa mji wa Moshi

    Hivi karibuni nimekuwa nikitazama vyombo vya habari inaonekana Kilimanjaro ni kinara wa joto nchini kwa mujibu wa (TMA) kuna uwezekano tukapoteza mlima kilimanjaro kama joto litazidi kuongezeka "TUWAOMBE WAKAZI WA KILIMANJARO KUHAKIKISHA KILA MWANANCHI ANAPANDA MICHE YA MITI ANGALAO 50 KILA KAYA...
  9. L

    Vodacom kukubali kutoa ushahidi dhidi ya Lema ni dharau kubwa kwa watanzania

    Upo mtandao wa simu unajiingiza kwenye maswala ya kisiasa ningewaomba wakitaka kufanya biashara wafanye biashara na waachane na maswala ya kisiasa. Mm kama mwananchi mtandao huu wa simu umekuwa na tabia ya kutoa siri za wateja wake. Kwahiyo muwe waangalifu na mtandao huu wa simu kwani...
  10. L

    Clouds TV jiongezeni kulingana na Jina lenu

    Hata taarifa ya habari ni za serikali tu utadhani ni TBC yenyewe haina mda wa kuaza
  11. L

    Ujumbe ndio ujumbe kwa serikali kuhusu ajira hasa za waalimu

    Watanzania wakijitambua kama huyu kijana tutakuwa na maendeleo na tutajua faida za kuchangua viongozi waliomakini na sio wanaodani kuendesha nchi uraisi ni kama kuendesha familia yake " TANZANIA TUNAHITAJI MIFUMO IMARA NA WALA SIO RAISI WA MATUKIO"
  12. L

    Mbunge wa Kilombero(CHADEMA) Mh. Lijualikali, afungwa jela miezi sita

    Raisi hana mamlaka ya kumtumbua hakimu kikaba
  13. L

    TUCTA wapo kwa maslahi ya nani?

    Hawajielewi hao
  14. L

    Keki ya taifa inaliwa zaidi na watu wa upande mmoja

    Kuna upande serikali inawatumbua sana hawapendi kabisa
Back
Top Bottom