Chochote inachofanya Marekani ni kwa maslahi ya Marekani yenyewe. Marekani ikikubali ufanye ziara kwao ujue imeona fursa, na yenyewe ikifanya ziara kwako ujue imeona fursa. Mengine tuendelee tu kupoteza muda kuyajadili
Kaduguda sio wa kutafutwa, ni wa kuachwa tu kama alivyozoea. Huwa anaenjoy zaidi akiwa upande wa upinzani kuliko akiwa upande wa madaraka. Ni sawa na jamaa mmoja kwa sasa ni marehemu, alikuwa anaitwa Seidou
Uongozi wa Simba haujamshtaki mtu. Huyo jamaa ameshtakiwa na Try Again. Siungi mkono ushabiki wa kutukana watu, ashtakiwe tu. Yale tuliyokuwa tunamshutumu Manara ndio hayo hayo aliyofanya jamaa
Waziri wa Viwanda na Biashara Mh.Dkt.Suleiman Jafo(Mb) ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) @tbs_viwango na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) @brela_tanzania kuhakikisha bidhaa zote nchini zinasajiliwa kwa kutumia barcode ili kuziwezesha kupata soko la ndani na nje ya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.