Recent content by Lupweko

  1. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Kanisa halikupigania kabisa uhuru wa Tanganyika?

  2. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Hilo halihitaji kujiuliza, lipo kwenye neno na mafundisho ya imani. Mt 19:9-10 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini. Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo...
  3. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Ukiondoa haya, hakuna usabato

    Mimi kila nikipita youtube kwa wasabato nakutana na mashambulizi dhidi ya Papa. Inawezekana ni kweli dhehebu hilo lilianzishwa ili tu kumpinga Papa
  4. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Pombe ndio chanzo kikuu cha Waislam na Wasabato kula kitimoto

    Labda hukumpata aliyetengenezwa vizuri
  5. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Nchimbi wanaharakati tunakushukuru siyo yule alituita sisi ni magaidi, Asante kwa kumtaja Maria Sarungi

    Yule mbunge wa Zanzibar atakuwa ameongezeka povu huko, analivutia kasi
  6. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    NMB, CRDB na benki nyingine huwa wanaweka kwa batches. Watu wawili mnaweza mkawa benki moja lakini batch tofauti
  7. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Kwa lugha nyepesi Geita yote chini ya ardhi ina dhahabu

    Kilometa 25 ni umbali kutoka Posta hadi Kibamba. Huo ni umiliki wa jiji, sio kiwanja
  8. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Iran yamuonya Trump baada ya mashambulizi mapya ya Marekani

    Heshima huku unapigwa ni kejeli iliyochangamka
  9. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Hivi mnamuelewa Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa?

  10. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mimi niliwahi kuchelewesha kurudisha na acoount ikawa haitumiki, nilipoirudia wakanishushia kiwango
  11. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Watanganyika tuwe Makini: Kauli ya Nchimbi inayotututaka Wananchi kupigania katiba mpya inafikirisha sana

    Wakitoka si ndilo jambo linalotafutwa?
  12. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Watanganyika tuwe Makini: Kauli ya Nchimbi inayotututaka Wananchi kupigania katiba mpya inafikirisha sana

    Sawa, lakini kuongea hadharani kauli ambazo watu wa serikali na chama chako wamekuwa wanazikwepa, walau apongezwe kwa hilo
Back
Top Bottom