Recent content by Lupweko

  1. Lupweko

    Hongera Bw Magori kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba Sports Club, Mtafute Kaduguda Myamalize ili Nguvu Moja Ikae Sawa

    Kaduguda sio wa kutafutwa, ni wa kuachwa tu kama alivyozoea. Huwa anaenjoy zaidi akiwa upande wa upinzani kuliko akiwa upande wa madaraka. Ni sawa na jamaa mmoja kwa sasa ni marehemu, alikuwa anaitwa Seidou
  2. Lupweko

    Viongozi wa Simba heshimu mashabiki, kutoa maoni ni haki ya kikatiba

    Uongozi wa Simba haujamshtaki mtu. Huyo jamaa ameshtakiwa na Try Again. Siungi mkono ushabiki wa kutukana watu, ashtakiwe tu. Yale tuliyokuwa tunamshutumu Manara ndio hayo hayo aliyofanya jamaa
  3. Lupweko

    Wajuzi wa Biblia, Kwanini Yesu aliwauliza wanafunzi wake yeye ni Nani?

    Asingewauliza tusingejua kuwa Petro ni mwamba na juu yake Yesu atalijenga kanisa lake. Kwa ufupi, isingekuwa imeandikwa
  4. Lupweko

    DOKEZO Ukumbi Wa Harusi Bethany Mikocheni-Kwa Warioba siri zavuja!

    Ukumbi sio kwa ajili ya ndoa na harusi tu, Gwajima amekodi ukumbi RC na anautumia kwa ibada
  5. Lupweko

    DOKEZO Ukumbi Wa Harusi Bethany Mikocheni-Kwa Warioba siri zavuja!

    Umesema ukumbi unamilikiwa na dhehebu lisiloamini Yesu, lakini bado unataka ushushiwe bei ili uutumie!
  6. Lupweko

    Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Acha makasiriko, scan jezi yako
  7. Lupweko

    Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Kiroho, bibi harusi ni kanisa, kwa hiyo haujakoses, upo sawa
  8. Lupweko

    QR Code haiwezi kuwa njia ya udhibiti wa jezi feki

    Waziri wa Viwanda na Biashara Mh.Dkt.Suleiman Jafo(Mb) ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) @tbs_viwango na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) @brela_tanzania kuhakikisha bidhaa zote nchini zinasajiliwa kwa kutumia barcode ili kuziwezesha kupata soko la ndani na nje ya nchi...
  9. Lupweko

    Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Si kwamba sio ishu, ila ni kwamba duniani hakuna kampuni ya kutengeneza nguo inayotengeza jezi za Yaanga
  10. Lupweko

    Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Kwa hili, kwani viongozi wanasema uongo?
  11. Lupweko

    Mapungufu 8 niliyoyaona kwenye jezi za simba

    Umesema umeyaona, sasa kama umeyaona mbona tena unatuuliza? :D :D :D Ni mwendo wa ku-scan tu
  12. Lupweko

    Lema, Lissu na Heche waliamua kumtoa kiongozi mnafiki ambaye aliwauza wenzake kwa miaka mingi

    Ni ujinga tu kuendelea kumlaumu mtu aliyewahi kuwapo madarakani badala ya kumuhimiza aliyepo sasa afanye mazuri ambayo hayakufanyika na kufuta mabaya ambayo yalifanyika
Back
Top Bottom