Recent content by Lupweko

  1. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Marekani inaumizwa kichwa na Irani, kamwe haiwezi kujipalia makaa kwa namna yoyote ile dhidi ya Tanzania

    basi sawa, hakuna haja ya kumtuma Spika kwenda kujitetea 😃
  2. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo ni nani amemuomba mkutano mwenzie?

    Chochote inachofanya Marekani ni kwa maslahi ya Marekani yenyewe. Marekani ikikubali ufanye ziara kwao ujue imeona fursa, na yenyewe ikifanya ziara kwako ujue imeona fursa. Mengine tuendelee tu kupoteza muda kuyajadili
  3. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Nini kimetokea?

    https://www.instagram.com/reel/DX4W7BfFbXH/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==
  4. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Hongera Bw Magori kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba Sports Club, Mtafute Kaduguda Myamalize ili Nguvu Moja Ikae Sawa

    Kaduguda sio wa kutafutwa, ni wa kuachwa tu kama alivyozoea. Huwa anaenjoy zaidi akiwa upande wa upinzani kuliko akiwa upande wa madaraka. Ni sawa na jamaa mmoja kwa sasa ni marehemu, alikuwa anaitwa Seidou
  5. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba heshimu mashabiki, kutoa maoni ni haki ya kikatiba

    Uongozi wa Simba haujamshtaki mtu. Huyo jamaa ameshtakiwa na Try Again. Siungi mkono ushabiki wa kutukana watu, ashtakiwe tu. Yale tuliyokuwa tunamshutumu Manara ndio hayo hayo aliyofanya jamaa
  6. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Wajuzi wa Biblia, Kwanini Yesu aliwauliza wanafunzi wake yeye ni Nani?

    Asingewauliza tusingejua kuwa Petro ni mwamba na juu yake Yesu atalijenga kanisa lake. Kwa ufupi, isingekuwa imeandikwa
  7. Lupweko

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ukumbi Wa Harusi Bethany Mikocheni-Kwa Warioba siri zavuja!

    Ukumbi sio kwa ajili ya ndoa na harusi tu, Gwajima amekodi ukumbi RC na anautumia kwa ibada
  8. Lupweko

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ukumbi Wa Harusi Bethany Mikocheni-Kwa Warioba siri zavuja!

    Umesema ukumbi unamilikiwa na dhehebu lisiloamini Yesu, lakini bado unataka ushushiwe bei ili uutumie!
  9. Lupweko

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    Muhusika wa afya ni Mungu
  10. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Acha makasiriko, scan jezi yako
  11. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Kiroho, bibi harusi ni kanisa, kwa hiyo haujakoses, upo sawa
  12. Lupweko

    JamiiForums Tanzania QR Code haiwezi kuwa njia ya udhibiti wa jezi feki

    Waziri wa Viwanda na Biashara Mh.Dkt.Suleiman Jafo(Mb) ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) @tbs_viwango na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) @brela_tanzania kuhakikisha bidhaa zote nchini zinasajiliwa kwa kutumia barcode ili kuziwezesha kupata soko la ndani na nje ya nchi...
  13. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Si kwamba sio ishu, ila ni kwamba duniani hakuna kampuni ya kutengeneza nguo inayotengeza jezi za Yaanga
  14. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Washabiki wa Simba amkeni, viongozi wenu wanawaburuza tena…

    Kwa hili, kwani viongozi wanasema uongo?
Back
Top Bottom