Recent content by lupela

  1. L

    Swali

    Habari Je kuna mtu unajua sehemu ilipo office za Africa Climate Change Resilience Fund(ACCRF) hapa dar
  2. L

    Ni vema ukayajua haya kabla ya kuingia kwenye ndoa

    Unaweza kifuata hayo yote na bado ndoa ikawa ngumu kwako
  3. L

    Natafuta rafiki wa kike au wa kiume

    OK asante
  4. L

    Natafuta rafiki wa kike au wa kiume

    Am a girl..Nipo dar na Natamani kwenda beach kesho..anaehitaji let's go and have fun Awe cool na mstaarabu Cost ni juu yako Swry!
  5. L

    Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

    Swala la soko ni tatizo la kitaifa kiongozi..ila nimekuja kuona watu wanataka faida ya haraka na kubwa sana ukitumia m 2kutunza Shamba ukiuza magunia 70 ata kwa 55000 faida inarudi 1.8m..ila wakulima wa mjini wanataka milioni 5 faida ndomana wanalalamika soko hamna.na kupata soko unahitaji Ku...
  6. L

    Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

    Swala la soko ni tatizo la kitaifa kiongozi..ila nimekuja kuona watu wanataka faida ya haraka na kubwa sana ukitumia m 2kutunza Shamba ukiuza magunia 70 ata kwa 55000 faida inarudi 1.8m..ila wakulima wa mjini wanataka milioni 5 faida ndomana wanalalamika soko hamna.na kupata soko unahitaji Ku...
  7. L

    Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

    @Regrann from @kilimochavitunguu - Habari wapendwa SEMINA YA KILIMO CHA VITUNGUU Je unahitaji kulima Vitunguu na hujui pa kuanzia? Tutaweza kukupa semina ya mwezi mzima kabla ya kuanza kulima Vitunguu ili uweze kupata faidi kwenye zao hilo. JIKWAMUE NA KILIMO CHA VITUNGUU kwa kukamata fursa...
  8. L

    Kama unaogopa hasara, baki na hela zako

    Exactly..watu wanasahau kuwa it's not what you do ndio kitakutajirisha ila ni the process katika kukifanya Mara kwa Mara bila kukata tamaa
  9. L

    Bavaria's 5 rules to enjoy your relationship

    Ukiwa open na straight forward huwezi uka let everything flow..ukitaka everything to flow ukae kimya we Kazi yako ni kusema ndio
  10. L

    Kutana na harusi ya aina yake

    Kweli moyo hauchagui..jamani hata mabonge wanahisia na wanaitaji penz mlitaka aoe mtu wa aina gani
  11. L

    X wako anaporudi huwa kasahau nini hasa?

    Mimi sioni umuhimu kuwa marafiki labda wale wa kisalimiana Mara moja kwa miez miwili
  12. L

    X wako anaporudi huwa kasahau nini hasa?

    Wengi wakiachana huwa wanaendeleza urafiki..wachache sana urafiki kukata hivyo kurudi na kukumbushiana inakuwa raisi sana.kimoja cha kufahamu ni kuwa kurudiana na x wako ni kama kurudia kitabu ulichosoma..mwisho wake unaujua
  13. L

    Hivi ni kwanini wakati wa kugegedana wanawake ndio hupiga kelele zaidi kuliko wanaume?

    Hao wamekaririshwa ukipiga kelele unamstimulate mwanaume..ata ivo kelele zikizidi ujue anajifekisha uyo
  14. L

    Ushauri kwa penzi hili, msichana ana ahadi za uongo

    Don't give up mda mwingine wadada tunatabia ya poz kidogo na kumsoma mtu aone kama unampenda kiasi gani..ila mapozi yakizidi sanaa jiondokee zako maana utakuwa unapoteza mda
  15. L

    Uadui baada ya mahusiano kuvunjika

    Achana nae.. yeye mwenyewe atajishtukia na kukuacha
Back
Top Bottom