Recent content by lunatoc

  1. lunatoc

    Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

    "Mme au mke na kukata kichwa " Soon hiyo taarifa tutaikuta kwenye Gazeti na account ya Instagram ya Millard Ayo
  2. lunatoc

    Nifundisheni misemo mipya ya kukwepea vizinga(kuombwa Hela Hovyo😅😅)

    [emoji23][emoji23] "Halo sikusikii unasema!??" "Kuna dili nalisikilizia"
  3. lunatoc

    Nyama kilo 12000, asante Rais Samia kweli unaupiga mwingi

    Kuleni hata chukuchuku tuijenge nchi [emoji23]
  4. lunatoc

    Nifundisheni misemo mipya ya kukwepea vizinga(kuombwa Hela Hovyo😅😅)

    Demu WA vizinga mpe Kula mzigo halafu block
  5. lunatoc

    Mbona Dkt. Mwigulu haeleweki? Yaaani madeni ya sekta binafsi ni ya Serikali? Mmemuelewa Watanzania?

    Wasomi njaa pumbavu ndio maana mnaishia kuajiriwa mnalipwa milion 1 umasikini uumewajaa. Endelea kukariri hivyo vitini vya nyambari
  6. lunatoc

    Mbona Dkt. Mwigulu haeleweki? Yaaani madeni ya sekta binafsi ni ya Serikali? Mmemuelewa Watanzania?

    Kwahiyo vile alivyokuwa anasema nchi itapigwa mnada kutokana na madeni alikuwa anamaanisha madeni ya Sector binafsi [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. lunatoc

    Natamani kufa

    Ni kweli kabisa
  8. lunatoc

    Oya Mwanenu mapenzi yanataka Kunitoa Roho

    Mkuu tupe hiyo sayansi ya wanawake
  9. lunatoc

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    GOATS are not compared Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  10. lunatoc

    Kwanini usukani wa gari unakuwa mgumu kukata kona?

    Breki za gari kujam shida ni nini? Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  11. lunatoc

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    England anapita Argentina game na Croatia hachomoi Tunza hii comment Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  12. lunatoc

    Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

    Juz nilikuwa nasikiliza radio yake nikasikia anaagiza waumini wake waende kanisani na udongo kutoka eneo la nyumba wanazoishi, sehemu ya KAZI au biashara. Nikasema Huyu ni tapeli kama Tapeli wengine WA Tandale. Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom