kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,185
- 24,573
Nyama kilo kwa sasa ni 10,000 kwa 12,000 ile ya steki
Hiyo ya 10000 ni nyama ya hovyo mixture mifupa, stake ni 12000
Nyama ilishuka ikawa 6000 miezi kadhaa ilopita sasa ni elfu 12 kwa stake elfu 10 kwa kawaida
Ninajipinda ninanunua tu maana watoto wamezoea hivyo siku ya dagaa wanatoa toa tu macho hawana furaha
Mimi sielewi watu wengine wana hali gani mimi tu naona hivi.....Halafu anatokea mwehu mmoja anasema anaupiga mwingi kuna siku nitapewa kesi ya kumnasa mtu vibao sipendi uchawi usio na impact mimi msifie mtu pale anapofaa kusifiwa sio ujinga kama huu wa kusifia fia ujinga
Ila ninafurahi sana tena sana wacha tuteseke maana tumekua waoga na watu wa kulalamika tu mimi hata ikifika kilo elfu 20 fresh tu nitakua nanunua huku nikijua akili sote zitaanza kutukaa sawa
Kuna siku tutaongea lugha moja siku ambayo hangaya hatoamini macho yake ashatuona sisi wote ni hamnazo kama waznz walivyo na desturi ya kuwadharau wabara
Ni kweli yeye ni Rais lakini ktk jicho la rohoni la muungano wa nchi mbili utagundua tunatawaliwa na mtu asiye wetu kwahyo hawezi kuwa na uchungu na sisi maana ni kutoka nchi ya upande mwingine wa sarafu ya muungano
Kweli anaupiga mwingi kila kitu kitapanda kwasababu ya vita vya Ukraine na Urusi aliwahi kusemkukataiizi hadi maharage sabuni za mo soda zimepanda pia maana nazo zinatoka ukraine na Urusi
Sawa mama tumekuelewa basi hewallah bora yesheee
Hiyo ya 10000 ni nyama ya hovyo mixture mifupa, stake ni 12000
Nyama ilishuka ikawa 6000 miezi kadhaa ilopita sasa ni elfu 12 kwa stake elfu 10 kwa kawaida
Ninajipinda ninanunua tu maana watoto wamezoea hivyo siku ya dagaa wanatoa toa tu macho hawana furaha
Mimi sielewi watu wengine wana hali gani mimi tu naona hivi.....Halafu anatokea mwehu mmoja anasema anaupiga mwingi kuna siku nitapewa kesi ya kumnasa mtu vibao sipendi uchawi usio na impact mimi msifie mtu pale anapofaa kusifiwa sio ujinga kama huu wa kusifia fia ujinga
Ila ninafurahi sana tena sana wacha tuteseke maana tumekua waoga na watu wa kulalamika tu mimi hata ikifika kilo elfu 20 fresh tu nitakua nanunua huku nikijua akili sote zitaanza kutukaa sawa
Kuna siku tutaongea lugha moja siku ambayo hangaya hatoamini macho yake ashatuona sisi wote ni hamnazo kama waznz walivyo na desturi ya kuwadharau wabara
Ni kweli yeye ni Rais lakini ktk jicho la rohoni la muungano wa nchi mbili utagundua tunatawaliwa na mtu asiye wetu kwahyo hawezi kuwa na uchungu na sisi maana ni kutoka nchi ya upande mwingine wa sarafu ya muungano
Kweli anaupiga mwingi kila kitu kitapanda kwasababu ya vita vya Ukraine na Urusi aliwahi kusemkukataiizi hadi maharage sabuni za mo soda zimepanda pia maana nazo zinatoka ukraine na Urusi
Sawa mama tumekuelewa basi hewallah bora yesheee