Nyama kilo 12000, asante Rais Samia kweli unaupiga mwingi

Nyama kilo 12000, asante Rais Samia kweli unaupiga mwingi

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,185
Reaction score
24,573
Nyama kilo kwa sasa ni 10,000 kwa 12,000 ile ya steki

Hiyo ya 10000 ni nyama ya hovyo mixture mifupa, stake ni 12000

Nyama ilishuka ikawa 6000 miezi kadhaa ilopita sasa ni elfu 12 kwa stake elfu 10 kwa kawaida

Ninajipinda ninanunua tu maana watoto wamezoea hivyo siku ya dagaa wanatoa toa tu macho hawana furaha

Mimi sielewi watu wengine wana hali gani mimi tu naona hivi.....Halafu anatokea mwehu mmoja anasema anaupiga mwingi kuna siku nitapewa kesi ya kumnasa mtu vibao sipendi uchawi usio na impact mimi msifie mtu pale anapofaa kusifiwa sio ujinga kama huu wa kusifia fia ujinga

Ila ninafurahi sana tena sana wacha tuteseke maana tumekua waoga na watu wa kulalamika tu mimi hata ikifika kilo elfu 20 fresh tu nitakua nanunua huku nikijua akili sote zitaanza kutukaa sawa

Kuna siku tutaongea lugha moja siku ambayo hangaya hatoamini macho yake ashatuona sisi wote ni hamnazo kama waznz walivyo na desturi ya kuwadharau wabara

Ni kweli yeye ni Rais lakini ktk jicho la rohoni la muungano wa nchi mbili utagundua tunatawaliwa na mtu asiye wetu kwahyo hawezi kuwa na uchungu na sisi maana ni kutoka nchi ya upande mwingine wa sarafu ya muungano

Kweli anaupiga mwingi kila kitu kitapanda kwasababu ya vita vya Ukraine na Urusi aliwahi kusemkukataiizi hadi maharage sabuni za mo soda zimepanda pia maana nazo zinatoka ukraine na Urusi

Sawa mama tumekuelewa basi hewallah bora yesheee
 
Nyama kilo kwa sasa ni 10000 kwa 12000 ile ya steki

Hiyo ya 10000 ni nyama ya hovyo mixture mifupa, stake ni 12000

Nyama ilishuka ikawa 6000 miez kadhaa ilopita sasa ni elfu 12 kwa stake elfu 10 kwa kawaida

Ninajipinda ninanunua tu maana watoto wamezoea hivyo siku ya dagaa wanatoa toa tu macho hawana furaha

Mimi.sielewi watu wengine wana hali gani mimi tu naona hivi.....Halafu anatokea mwehu mmoja anasema anaupiga mwingi kuna siku nitapewa kesi ya kumnasa mtu vibao sipendi uchawi usio na impact mimi msifie mtu pale anapofaa kusifiwa sio ujinga kama huu wa kusifia fia ujinga

Ila ninafurahi sana tena sana wacha tuteseke maana tumekua waoga na watu wa kulalamika tu mimi hata ikifika kilo elfu 20 fresh tu nitakua nanunua huku nikijua akili sote zitaanza kutukaa sawa

Kuna siku tutaongea lugha moja siku ambayo hangaya hatoamini macho yake ashatuona sisi wote ni hamnazo kama waznz walivyo na desturi ya kuwadharau wabara

Ni kweli yeye ni rais lakini ktk jicho la rohoni la muungano wa nchi mbili utagundua tunatawaliwa na mtu asiye wetu kwahyo hawezi kuwa na uchungu na sisi maana ni kutoka nchi ya upande mwingine wa sarafu ya muungano

Kweli anaupiga mwingi kila kitu kitapanda kwasababu ya vita vya ukraine na Urusi aliwahi kusema sikuhizi hadi maharage sabuni za mo soda zimepanda pia maana nazo zinatoka ukraine na Urusi

Sawa mama tumekuelewa basi hewallah bora yesheee
Dagaa ulaya ni bei kuliko nyama ya ng'ombe na kuku. Kilo ya dagaa ni shilling elfu thelathini.
 
Ninajipinda ninanunua tu maana watoto wamezoea hivyo siku ya dagaa wanatoa toa tu macho hawana furaha
Mimi nimekuelewa aya hii tuu😂😂😂😂huko kwingine watasoma wengine
 
Labda steki tupu..
Ila kawaida na mifupa ni chini 9000
 
Wenzangu mnalamba asali au hamrambii
Tulia tukusanye hela zetu tulizokuwa tunatoa kwenye gawio kila mwezi enzi za mwendazake.
 
Kuleni hata chukuchuku tuijenge nchi [emoji23]
 
Back
Top Bottom