Recent content by Lumelondingu

  1. L

    JamiiForums Tanzania Hivi ni nchi gani Rais mwenye Diploma aliongoza ma-professor?

    Mswalishaji unamaanisha kuna nchi ama taasisi ya ma-profesa inayoongozwa na mwenye diploma? 1. Kama unamaanisha urais wa nchi; kumbuka kwa kila nchi hasa zile ambazo wachangiaji wengi wanarejea zina mambumbu wengi ambao ndio wapigakura kuliko wasomi kuanzia hiyo diploma mpaka PhD, kwa muktadha...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

    Tulimchagua kuwa rais wa watanzania hivyo matatizo ya watanzania inatakiwa iwe ni kipaumbele nambari moja kwa rais anayejitambua. Hongera Mh. Magufuli kwa kutambua fika jukumu lako kama rais. Watanzania wenzako wanahitaji msaada wa haraka hivyo safari kwa sasa zikome kwanza. Ukiendelea hivi...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Daima tutamkumbuka President Mrisho J.K

    Kama mtu alizoea vya burebure, kweli gap ni kubwa na bado linaongezeka maana zama hizi usipofanyakazi huwezi kula. Tumwache JK ajipumzikie zake msoga. Hapa kazi tuu umbeya kwenu
  4. L

    JamiiForums Tanzania DC Kasesela: Kuwaza kuajiriwa kwa kijana aliyehitimu chuo ni Utumwa

    Mh. DC kasema kitu cha kweli ila hakupaswa kuishia hapo kama kweli analijua tatizo la ajira na changamoto za kujiajiri hasa Tanzania hapa. Maneno ya utumwa na utwana kwa wanaomaliza chuo ni kejeli kwa mfumo wetu wa elimu ambao hautuandai kujiajiri na hakuna mazingira rafiki ya kujiajiri direct...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Vifaa vyote vya Freeman Mbowe vilivyokamatwa jana na NHC vitauzwa baada ya siku 14 Ili kufidia deni

    Duh! Mh. Mbowe waswahili wanasema "Ukitaka kuruka agana na nyonga" wewe mwenzetu twakuona kama mzalendo nambari one kumbe hata kodi halali za serikali hulipi? Sasa na nyinyi CDM bado tuu mnaendelea na mwenyekiti mwenye questionable integrity waziwazi namna hii? Halafu mnatwambia mmekuja...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Kama Watalii hawataki kulipa kodi, VAT bora wasije

    Hivi kusema na la haki ni mtalii gani na wa aina gani(wa ndani ama wa nje) aliyenukuliwa kusema VAT inamsumbua na imemkwamisha kufanya utalii? Naamini ni madalali wa utalii ndio wanatusumbua, utalii ni hiari si lazima, ukiona VAT ni mzigo kwenye utalii iepuke kwa kutokuja kutalii kwa sababu...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Kampuni 4 zabainika kukwepa kodi Sh. Bilioni 29.2. SKOL, A. M Steel wamo...

    Nawapongeza TRA kwa kuchukua hatua hizi, in fact fictitious VAT traders ni wengi mnooo hapa nchini. Hatua hizi zikichukuliwa kwa wakati nchi hii ni tajiri na makusanyo ya trilioni 29.5 ya bajeti ya 2016/2017 yatafikiwa.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Viwango vya gharama daraja la Kigamboni ni uhalifu dhidi ya ubinadamu

    Yericko uko sahihi kabisaaa. Jambo la kuchangia kwa magari haya madogomadogo na haya ya abiria binafsi naona ni dalili za hujuma kwa wananchi kutoka kwa serikali yao. Kwa msingi huu hakuna unafuu wowote kwa wanakigamboni na watumiaji wa hilo daraja kwa ujumla. hata hizo tozo kwa magari makubwa...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi hewa wafikia zaidi ya 7700

    Nawapongeza kwa uchambuzi huu wa wafanyakazi hewa. Tufike pahala tuchambuane hata wafanyakazi mizigo wapo wengi tuu. Kuna watu humu maofisini input yao ni sifuri kazi kuchat na umbea tuu hawa nao ni hewa tuu japo wanatembea. Ifike pahala tuwe na uwezo wa kupimana kwa tunachomzalishia mwajiri...
  10. L

    JamiiForums Tanzania UPDATES 21 April 2016: Bandari ya Tanga ndiyo chaguo la serikali ya Uganda

    Watu hapa tunashindwa kuelewana. Watu wengi tunaliangalia hili bomba na litakachoongeza kwenye pato la Taifa tunaacha kuangalia linaongeza kiasi gani mfukoni kwa tuliowengi. Hata kama hili bomba litaongeza TZS 10bill@day kwenye pato la Taifa, mimi sioni tatizo. Tukumbuke kuwa GDP pekee sio...
  11. L

    JamiiForums Tanzania UPDATES 21 April 2016: Bandari ya Tanga ndiyo chaguo la serikali ya Uganda

    Watu tunashangilia hili bomba kupita kiasi utafikiri limetuletea hela ili tuupige teke umaskini. Tuangalie hili la tazama kwanza linaleta faida kwa wangapi kati yetu 50mil watu? Tusidanganyane, mwarobaini wa umaskini wetu tuliowengi ni kilimo pekee. Ili kilimo kionekane kinaleta tija kwa taifa...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli avuruga wengi

    Huyo mama naye ni jipu la ugoko
  13. L

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara Scuba azidi kutamba

    sasa picha inamtishaje mtu kwa mfano? waandishi mnapoacha kuandika mambo ya maana na kujikita kwenye majungu na umbea ndio matokeo yake. Angalau mwandishi angeeleza ni kwa namna gani skuba kapata hekari 5000 (kama ni kweli) badala ya maneno ya ugombanishi tuu aliyoyatumia.
  14. L

    JamiiForums Tanzania Huyu mtu mnasahau lakini atapata cheo kwa mshangao wa wengi

    Mwaka huu mtajadiri majina mpaka mkome. Let us discuss issues not names please!
  15. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli hana sera yoyote ya kukuza uchumi, yupo yupo tu huku uchumi ukiteketea kwa kasi!

    wacha ndg. Rais azibe mianya kwanza. Na hata wewe mleta uzi kama ofisi yako ni ya ujanja ujanja utaifunga tuu maana deal zinaenda kufungwa inabaki haki bin haki.
Back
Top Bottom