Recent content by lukwila

  1. L

    Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

    Hiyo lazima itakuwa ni KINANGO SEC kuna mfumo wa upigaji hatari....mlolongo wake mpaka kwa afisa elimu!!
  2. L

    Busega: Mbunge Raphael Chegeni anagawa rushwa muda huu

    ..... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. L

    Busega: Mbunge Raphael Chegeni anagawa rushwa muda huu

    Sent using Jamii Forums mobile app
  4. L

    Busega: Mbunge Raphael Chegeni anagawa rushwa muda huu

    Nani anayetutuma? Maana naona povu tu mpaka unaongea kuhusu mambo ya familia hapa,sijui una maanisha nini?? Sisi wanabusega tumemchoka na safari hii hatoboi na kila kitu kiko wazi. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. L

    Busega: Mbunge Raphael Chegeni anagawa rushwa muda huu

    Huwezi kumlinganisha Dr kamani na chegeni ndg yangu! Kamani ni msomi na mbobezi,lakini huyu ni kanjanja tu,mhuni fulani wa siasa,na hata hiyo phd yake haieleweki! Wewe fikiria tu saizi kwamba,hakuna Phd ya chama tawala ambayo haijawahi kulamba uteuzi bungeni isipokuwa ni hii ya chegeni.HAKUNA...
  6. L

    Busega: Mbunge Raphael Chegeni anagawa rushwa muda huu

    Mbunge wa jimbo la Busega Mhe. Chegeni yuko anafanya ziara kila kata muda huu,anakutana na wajumbe wa mkutano mkuu na Halmashauri Kuu, huku ajenda yake kubwa anasema wagombea mwaka huu ni wengi hivyo na yeye akumbukwe! Kinachofuata ni kila mjumbe anapata 20,000/= na t shirt juu. Sasa ametoka...
  7. L

    Hongera Rais Magufuli!

    Najua wengi wamempongeza na wanaendelea kutoa pongezi nyingi sana kwa kiongozi wa nchi yetu Mh jemedari Dr John Joseph Magufuli,nami pia nimewiwa,nafsi yangu imeshindwa kujidhuia wala kuridhika kama sitaweza kuandika neno la shukurani hapa. Mh Rais,wewe ni Baba yetu! wewe ni mlezi wetu na wewe...
  8. L

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Najua wengi wamempongeza na wanaendelea kutoa pongezi nyingi sana kwa kiongozi wa nchi yetu Mh jemedari Dr John Joseph Magufuli, nami pia nimewiwa, nafsi yangu imeshindwa kujidhuia wala kuridhika kama sitaweza kuandika neno la shukurani hapa. Mh Rais,wewe ni Baba yetu! wewe ni mlezi wetu na...
  9. L

    Dkt. Festo Ngadaya: Sensitivity vs Specificity | Vipimo vya maabara huwa sahihi kama ukipima kile kinachotakiwa kupimwa

    Unaelewa maana ya south korea? Maana umeandika afrika kusini!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. L

    Serikali yalifunga daraja la Mwanza - Musoma kwa siku 10

    Kisaba=kisamba Sent using Jamii Forums mobile app
  11. L

    Nitajuaje kama ni mwathirika kwenye kadi ya clinic

    Habari za usiku ndugu zangu? Poleni na mihangaiko ya majukumu, naomba msaada wa kueleweshwa juu ya namna ya kufahamu kama mama mjamzito ni positive ama negative kupitia kadi yake ya clinic. Maana hatua ya kwanza kwa mjamzito ni kupima VVU, lakini nimeangalia kadi fulani sijaona palipoandikwa...
  12. L

    DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

    Wakuu vipi kuhusu Mungu mtu bwana Simba pale kinango sec.
  13. L

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Wapi wanaonyesha wadau
  14. L

    Afa baada ya kupiga punyeto mabao 52

    Tena sana,si ajabu hata ww nakufahamu
  15. L

    Tunaotafuta Kazi Tanzania Intelligence and Security Service (TISS) Tukutane Hapa

    Naipenda sana hii kazi ya usalama tangu siku nilipopata tu kusikia na kufahamu neno usalama wa taifa!! Sema sina namna ya kuweza kuifikia lakini nitaendelea kuitamani sana bila kujali maslahi yake,hata kama ni bure!!
Back
Top Bottom