Recent content by Lukosomolo

  1. Lukosomolo

    Sasa ndio Nimejua chanzo cha kupigwa Marufuku "Bunge Live" na Mikutano Ya Kisiasa

    Tumevamiwaaaaa humu JF. Kumbe watu wa namna hii bado wapo nchi hii? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Lukosomolo

    Wananchi tusipopaza sauti zetu kwa nguvu zetu zote hakika Taifa letu linakwenda kuangamia!

    Wakupaza sauti ni wananchi wa nchi hii hii ya Makabwela? au unawasemea waarabu wa kaskazi. Tutabulutwa hadi mwaka 2025. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Lukosomolo

    Wakili Fatma Karume kuhusu kilichojiri polisi dhidi ya Lissu

    Duh Tanzagizaa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Lukosomolo

    Wafanyabiashara wagoma kushusha bei ya sukari

    Huwezi kuuzuia mto usitiririke bila kuua chanzo cha Maji
  5. Lukosomolo

    Nimemrudisha mke na mtoto ukweni baada ya kukosa kazi kwa miezi 3

    Nyota yako ishachukuliwa inafanya kazi sehemu tena ina mafanikio makubwa sana ushauri wa bure jaribu kuwaona watalaamu wa Nyota na kumshirikisha Mungu kwa hilo. Don't giv Up
  6. Lukosomolo

    Kuna uhusiano gani kati ya Nyoka na Mapacha

    Tujaribu kuwashilikisha watu wazima hasa waliotuleta duniani hao pia wanaweza kuwa dawa maana majibu yetu sisi vijana hayaridhishi
  7. Lukosomolo

    Diamond aonesha ofisi yake mpya, tazama ujifunze kitu

    Acheni majungu kama amekuzidi mkubali tu na kama umemzidi jikubali
  8. Lukosomolo

    Kuna uhusiano gani kati ya Nyoka na Mapacha

    Ndugu wanajamvi, Nashindwa kutambua kuna mahusiano gani kisaikolijia, kiimani, ama kwa njia nyingine yoyote ile kuwa nyoka hata awe na mbwembwe kali kiasi gani wala sumu hata angekuwa mkubwa kiasi gani lakini hawezi kumdhuru mapacha ( 2 na zaidi waliokaa ndani ya tumbo 1 la mama na kuzaliwa...
  9. Lukosomolo

    Waziri wa Afya atinga Mwananyamala hospitali

    Pumba kabisa hawa viongozi walishaiweka Dar ndo majaribio ya ziara za kushtukiza na hali nchi hii ni kubwa kuliko acheni kutuhadaa Watanzania na madudu ni mengi mikoani na kwenye halmashauri zetu zinanuka zimeoza hebu njooni na huku mjionee wenyewe nchi ilivo
  10. Lukosomolo

    Magufuli

    Hatoshii popote
  11. Lukosomolo

    Nawe ni mtumiaji wa neno LOL? Soma hapa

    Watanzania ni watu wa kukurupuka na mambo ya magharibi nyie endeleeni nayo tu na muendelee kufupisha na kurahisisha matamshi na maandishi maana mnapenda sana vya kunyonga baada ya kifo mtakutana na vya kuchinja kazi kwenu lol endeleeni na hiyo LOL yenu
  12. Lukosomolo

    Uozo, Rushwa, Ufisadi ndani ya Halmashauri ya Jiji Mbeya.

    Halmashaur ya jiji la Mbeya Limeingia katika mgogoro na wananchi ni baada ya kuuza viwanja mara zaidi ya mbili eneo la Sistila pia halmashaur hiyo Imeshindwa kutangaza Zabuni kwa Mwaka wa fedha 2015/2016 kutokana na Rushwa Ufisadi na Uozo uliopo Halmashauri hapo Tunaziomba Taasisi mbalimbali...
  13. Lukosomolo

    Halmashauri ya jiji la Mbeya yauza viwanja hewa, mamilioni ya hela yaliwa

    Kwa Halmashauri ya Jiji Mbeya hilo ni La kawaida sanaaa yapo makubwa zaidi ya hayo Ila kiujumla Halmashauri ya Jiji Mbeya Imeozaaa Inanukaaa Wazir mkuu Pinda Tuondolee uozo huu. Na lingine ni kwamba mwaka huu wamegoma kutangaza Zabuni ya aina yoyote huo si ndo wizi na Uozo?
  14. Lukosomolo

    Iwambi Mbeya: Mtu mmoja auawa na Wananchi wenye hasira kali

    Mtu asiejulikana ameuawa na wananchi wenye jazba kubwa maeneo ya Iwambi Mbeya baada ya jaribio lake la kutaka kuiba kwenye duka la bwana mmoja aitwae Ben . Hivo basi tunaiomba vyombo husika vije viuchukue mwili wa mwizi huyoo. Samahani picha hazikufaa kuwa kwenye mtandao.
Back
Top Bottom